Pre GE2025 Askofu Bagonza: Miaka mitano imepita lakini Dkt. Bashiru bado hana mpinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pole sana Dada!
Tafuta kivuli kizuri hapo nje angalau upate upepo mzuuuri na mwanana itakusaidia sana
 
Unampangia muda wa kusoma biblia? akiwa chadema au Tlp inakuuma nini? Mbona mnashawishi viongozi wa dini kuiombea nchi hata kama kuna mambo ya wazi ambayo mnayakiuka kwa makusudi? Hoja zake ni za uongo au ni za kweli? Unadhani ni sahihi kila mtu kuiunga mkono CCM hata kama hataki?
 
Pole sana Dada!
Tafuta kivuli kizuri hapo nje angalau upate upepo mzuuuri na mwanana itakusaidia sana

Mimi ni mume wa mama yako, muulize Jay One ni nani atakuambia, huna adabu, pumbaf
 
Upotoshaji wa kile aliongea na kumaanisha. Huyu msomi na mwanamapinduzi inahitaji akili kutoweza kupotoshwa na wapinga maendeleo kama watumishi wa matumbo yao kina Bagonza huku wakijidai ni watumishi wa mungu.
 
Kwani nchi hii askofu ni bagonza tuu? Hao wengine hawajui kazi yao ya uaskofu hadi hatuwaoni kwenye uanaharakati wa Chadema?
Hawaja jua wajibu wao ipasavyo?Lakini pia nchi yenye wajenga wengi wanaoamua kwenye kutekana na kuana kisa kukosoa serikali,wengi wanaona na heri kukaa kimya.ASKOFU BAGONZA AMECHAGUA FUNGU LILO JEMA
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…