Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza: Ujumbe kwa vyombo vya Ulinzi

Mbona hukemei ushoga ambaye mgombea wa chadema Aliwatetea ?
Hivi ushoga uko tangu lini je wewe unayejifanya unauchukia ushoga umefanya nini kuuondoa je kisa cha sodoma na gomora kingeweza kuufanya ushoga ufike mwisho je ilikuwa hivyo jiulize kwanini mpaka sasa bado upo.we binadamu usipende kuwapa wengine lawama za mapungufu yako hii ni dunia na itakuwa hivyo maana yako mambo ambayo yanakuja na kuondoka hata hili litaondoka kwa nji zilezile maana ungekuwa hodari ungeshalimaliza lakini kumbe na wewe @@@@@@@@@@@@ bac sawa
 
No Ccm haitambui mashoga nakumbuka mgombea mmoja anatetea kutoka pale ufipa
Siri-kali ya ccm inatambua na kuutetea ushoga, waliweka wazi hilo na walimkana makonda alipoendesha msako wa mashoga Dar
 
Ccm haina sera ya ushoga, ila hao watu walitetewa na watu kutoka ubeligiji
Siri-kali ya ccm inatambua na kuutetea ushoga, waliweka wazi hilo na walimkana makonda alipoendesha msako wa mashoga Dar
 
Chadema msitake kuhalalisha ushoga kwa kisingizo cha sodoma

Ushoga haikubaliki Tanzania
 
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
unajua maana ya kunukuu!
 
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
Nakushauri jitafakari na ujielewe! Ungekuwa na akili sawasawa usingeandika huu upuuzi wako!
Umesoma haya maandiko? Umeyaelewa? Kuna tatizo la haya maandiko? Si yanahimiza amani?
Sali sana ili Mola akujaalie hekima, busara na akili japo kdg uweze kujitambua
 
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
Ccm mnapenda Sana kuhubiri amani...HUKU mmeficha mapanga,viunoni mwenu...MNASHINDWA KUHUBIRI HAKI AMBAYO NDIYO MSINGI WA AMANI...KILE MNACHOKISHINDWA KUKIHUBIRI(HAKI),NDIO KINAWEZA KIKAHATARISHA AMANI YA NCHI...HUBIRINI HAKI TENDENI HAKI,AMANI ITAKUWA YA KUDUMU NA MUNGU ATAIBARIKI NCHI NA UZAO WAKE...

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
But Askofu kama kweli Wewe ni mshauri Kwanini unapenda kuegemea Chadema tu?

Unamaanisha Chadema ndio hawakosei ?

Mbona hukemei ushoga ambaye mgombea wa chadema Aliwatetea ?
Ameitaja Chadema hapo? Umelaaniwa wewe na uzao wako!
 
Haki ni kama asali ukionja utatamani hata wanaume kwa wanaume waoane useme ni haki

Kila kitu kina limit
 
Askofu Bagonza hana tofauti kabisa na Nabii Titto
 
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako

Do you think you have ownership of this country that others have no right to air their views on what is right and what is wrong
 
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
Kondoo ndio sisi wapiga kura asiposema Yeye hata mawe yatasema
 
Huyo askofu asubirie sadaka tu kanisani, mambo ya vyombo vya ulinzi Ni makubwa kuliko hako kaubongo kake.
 
That's not my concerns, myself,I think Bishop' s views is wrong

Pointing to Securities with no evidence is totally unacceptable
Do you think you have ownership of this country that others have no right to air their views on what is right and what is wrong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…