Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza: Ujumbe kwa vyombo vya Ulinzi

Kwa kuongezea hapo huu Ni unumbe kwa vyombo vya dola yote Tanzania , Polisi , Jeshi , usalama wa taifa na tume ya uchaguzi , simamieni haki ,sheria na katiba note Kuna amri halali na amri haramu tendeni haki hakuna hati miliki kwa mtu yoyote au chama chochote kile cha siasa uamuzi wa wananchi kupitia kura zao uheshimiwe .
 
Reactions: BAK
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
Mkuu utakua una tatizo! Mbona umejibu bila kusoma kilichoandikwa, au mbona umejibu tofauti na mada????!
 
Ni kweli kiongozi twende October 28 tumkamuadhibu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Umefanya vyema.

Yaonekana kuelekea Oct 28 na bonus imepatikana kabisa.

Punda afe Ila mzigo ufike. Kulazimisha kushinda ni sawa na ubakaji tu.
 
Jibu swali acha kujibaraguza!
Mbona nilishajibu mkuu. Au unataka nijibu majibu unayoyataka? Anzia kusoma chini kama hujaelewa uliza tena
Hakuna anayestahili kupigwa mawe. Lakini BAK niambie tuu wewe umerusha mawe mangapi?
Au umesakizia watoto wa wenzio wakati wako umewakumbatia ndani
Unadhani kwanini JWTZ hawapigwi mawe?
Hao wengi ni wangapi mkuu. Mimi najua watanzania wanawaita police
Unadhani ni kwanini wanaitwa polisiccm na siyo polisichadema au polisiact!?
 
Narudia tena acha kujibaraguza na longo longo zako! Polisiccm wanapigwa mawe na Watanzania nikakuuliza unadhani ni kwanini JWTZ hawapigwi mawe!? 😳
Mbona nilishajibu mkuu. Au unataka nijibu majibu unayoyataka? Anzia kusoma chini kama hujaelewa uliza tena
 
Safisana
 
But Askofu kama kweli Wewe ni mshauri Kwanini unapenda kuegemea Chadema tu?

Unamaanisha Chadema ndio hawakosei ?

Mbona hukemei ushoga ambaye mgombea wa chadema Aliwatetea ?
Kama.nyinyi.ndiomnaokemea.ushoga.mbona.mlimuachia.makonda.sakalaushoga
 
Narudia tena acha kujibaraguza na longo longo zako! Polisiccm wanapigwa mawe na Watanzania nikakuuliza unadhani ni kwanini JWTZ hawapigwi mawe!? 😳
Sijui chochote, niambie kwanini
 
Ni kweli kiongozi twende October 28 tumkamuadhibu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji

Kwangu na kwetu wengi, Lissu na Maalim Seif ni wakombozi wetu.

Huyu wa Chatto aka mkoloni mweusi atatutambua. Hatuna mzaha. Hatucheki na nyani tena.

1. Tunajihimu vituoni.
2. Tunakikisha mawakala wetu wapo gado.
3. Tunapiga kura.
4. Tunabaki vituoni, hatuondoki.
5. Tutatangaziwa matokeo ya vituoni hapo hapo.

NB tutaelewana tu. JKNIA busara ilitumika. Hapa msipime!

Wengine Buriani tayari tulishatoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…