Askofu Bandekile Mwamakula aungana na Bavicha kusalimia Wafungwa wa kisiasa waliolundikwa kwenye Magereza za Tanzania tangu uchaguzi wa 2020

WE UTAKUWA SHOGA TU UNATAFUTA BWANA ACHANA NA MIMI MGONJWA NI WEWE
 
Lakini kupitia maombi yake watu wameaibika pamoja na ulinzi wa chopa,bunduki,mizinga ...... wameondoka kwa aibu.Taratibu tu tutaelewana.
Acha kujifariji, mapenzi ya Mungu yalitimia.
 
Wewe acha hizo! Unafikiri maombi aliyoachia kipindi cha uchaguzi yatawaacha salama.
Kichwa cha jiwe hicho kinasiginwa na funza-- who is next------
 
Serikali inafanya kosa kubwa sana kumlea huyu jamaa. hafai hata kuitwa askofu. anachanganya sana siasa na dini jambo ambalo ni baya sana. naongea hivi kwasababu kwa harakati hizo angekuwa shehe angeshafungwa, kwanini wasimfunge huyu naye?
Jina lako linakuakisi, kweli chapwa24 , unachapwa 24hrs au tuseme 24/7
 
MUNGU KILA SIKU NAMSHUKURU NA NDIYE ANANILINDA HUYO ANASHINDWA KUCHUNGA KONDOO ANAINGILIA SIASA SASA KAMA SIYO UHUNI NI NINI ?
Sasa Iboya2021 . Ni kweli tu kuwa Askofu anaweza kuwa na mapungufu yake. Lakini Je kuwarundika waTz magerezani kwa kesi za kubumba ni haki ipi hiyo ?!
 
Sasa Iboya2021 . Ni kweli tu kuwa Askofu anaweza kuwa na mapungufu yake. Lakini Je kuwarundika waTz magerezani kwa kesi za kubumba ni haki ipi hiyo ?!
wewe unajuaje kama za kubambiaka zote si mpaka mahakama ijiridhishe ?na tatizo lenu chadema mnafikiri kuwa mtu akiwa wa chadema hafanyi makosa na kuwa mnaonewa nyinyi tu siyo kweli
 
wewe unajuaje kama za kubambiaka zote si mpaka mahakama ijiridhishe ?na tatizo lenu chadema mnafikiri kuwa mtu akiwa wa chadema hafanyi makosa na kuwa mnaonewa nyinyi tu siyo kweli
Za kubambika hizo. IlikuwaJe Nusrat Hanje mkamtoa gerezani usiku wa manane bila hata remove order kuwahi kuapishwa asubuhi, tena mkoa mwingine , kama kweli kesi dhidi yake ilikuwa na mashiko ?!. Wafuasi wa wagombea wote wa Cdm mkoa wa Mara mliwakamata wamo ndani halafu mliowadhulumu majimbo , mnawahonga viti maalum !!. Kama kesi dhidi yao ingekuwa na mashiko mngewazawadia ubunge ?!.

Hujui uhuni aliofanya jamaa. Bora Mungu amepunguza kujiinua kwake.
 
Tatizo ni kwamba, ama huna dini, au huyajui maandiko.

Mathayo 25:36

"Nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.’

Hongera Baba Askofu kwa maana unayaishi maandiko.
Asante sana mkuu
 
Askofu alifunga kwa maombi kwamba yeyeto yule ataekavuruga uchaguzi Mungu awaaaibishe.Mungu katenda wametawanyika njia saba
Sijui kwanini Sizonje hakushtuka baada ya kuona mtumishi wa Mungu Mwamakula ameingilia kati hali ya haki ya watanzania. Alivyoona amejiapisha urais alidhani yameisha. Aisee miezi mitatu sijui kama kaimaliza.
 
Umoja wa TAG na Waislam kule dodoma na makongamano ya kumpongeza mwenyekiti wa ccm haikuwa kuchanganya dini na siasa??
 
Serikali inafanya kosa kubwa sana kumlea huyu jamaa. hafai hata kuitwa askofu. anachanganya sana siasa na dini jambo ambalo ni baya sana. naongea hivi kwasababu kwa harakati hizo angekuwa shehe angeshafungwa, kwanini wasimfunge huyu naye?
Kosa la Magu na washirika wake lilianzia pale walipowadhalilisha watumishi wa Mungu. Eti polisi wanasema .... Yule anayejiita Askofu Mwamakula tumemshikilia kwa mahojiano. Wiki haikuisha chali.
 
Akina Gwajima hawafanyi dini na siasa.....we sijui nikupe tusi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…