Askofu Bandekile Mwamakula aungana na Bavicha kusalimia Wafungwa wa kisiasa waliolundikwa kwenye Magereza za Tanzania tangu uchaguzi wa 2020

Askofu wa kanisa gani na huo uaskofu alipewa na nani, atashona na kuvaa mavazi ya kiaskofu au hata kofia feki za kiaskofu wakati hata kanisa hana wala halijulikani
Uaskofu ni utumishi achana na makoti koti na makofia na makanzu.
Kwa vigezo vyako unataka kusema Pengo ni askofu?? 🀣🀣🀣
 
Sijui kwanini Sizonje hakushtuka baada ya kuona mtumishi wa Mungu Mwamakula ameingilia kati hali ya haki ya watanzania. Alivyoona amejiapisha urais alidhani yameisha. Aisee miezi mitatu sijui kama kaimaliza.
Kiburi cha kutegemea nguvu ya ziada
 
Anza kujiandaa, humuoni kukonda kwake si bure
 
Askofu njaa tu huyu! Hana mpya bora ajiunge na siasa rasmi kuliko kujifanya askofu kumbe mwanasiasa
 
Aisee mkuu kwenye kuolewa umekwenda mbali sana. Kumbuka huyo nae anamachaguo yake kama viongozi wengine wa dini ambao wanashabikia ccm. Hata kama mtu huendani nae kiitikadi lakini usimshambulie hivyo. Nakuombea msamaha kwa uliowakwaza
Serikali ilianza kukosea kwa kutembea na baadhi ya viongozi wa dini kila mahali hili ni tatizo.
 
Kinachomsumbua huyo ni kivuli cha mwenye laana Sizonje. Kama alivyokuwa hapendi mtu yeyote mwenye itikadi inayopingana naye. Hakuna Rais nchi hii alichanganya siasa na dini kama magufuli wakati mwingine kwa kulazimisha viongozi wa dini. Lakini Chatu gang hawakuliona hilo.
 
Bado nakumbuka maneno aliyoyatoa kwenye maombi yake......kamwe hayatapita bure . Mungu atatenda kwa ujasiri na kujibu kwa kila aliyeshiriki KUVURUGA uchaguzi wa 2020
 
Askofu alifunga kwa maombi kwamba yeyeto yule ataekavuruga uchaguzi Mungu awaaaibishe.Mungu katenda wametawanyika njia saba
Nakumbuka alikua na Shekhe Ponda wakaangusha dua za kufa mtu kweli kweli..
πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½
 
Nakumbuka alikua na Shekhe Ponda wakaangusha dua za kufa mtu kweli kweli..
πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½
Dua limesepa na mtu slow bashiru wamepoteana
 
Dua limesepa na mtu slow bashiru wamepoteana
Na InshaaAllah..! Yule DHAIFU tayari ni maiti inayotembea ndani ya BUNGE.
mda wowote tunasaga RUMBA..πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎ
sisi kwetu raha tu..!
 
Ivi wewe tayari umeshaolewa?
 
Kama sikosei katika ufunguzi wa kampeni za Urais 2015 za chadema kuna mwamba alipiga sala kuwa yeyote atakaechezea uchaguzi huo atakufa kwa kansa ya damu. Sasa ni 2021 wote hawapo wameshakufa.
 
Serikali inafanya kosa kubwa sana kumlea huyu jamaa. hafai hata kuitwa askofu. anachanganya sana siasa na dini jambo ambalo ni baya sana. naongea hivi kwasababu kwa harakati hizo angekuwa shehe angeshafungwa, kwanini wasimfunge huyu naye?
Assume wewe ni hakimu, hebu toa hukumu yako sasa ni kwa nini umfunge baba askofu na uweke vifungu vya sheria. Hata kama una mimba changa sio kwa hasira hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…