Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Yeye akimbilie uholanzi naona mna shauku ya kuishi nje ya nchi yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kaeni kimya msitupigie kelele bure.
Tuko hapa hapa nchini boss, wanachokifanya mahakama tunakijua na kukiona. Kama umeamua kufanya utetezi wa haya yanayoendelea ni haki yako, lakini hilo haliondoi uhalisia wa kile kinachoendelea kwenye hizo mahakama, inapokuwa suala la kutenda haki kwa wapinzani. Kilichofanyika kwenye uchaguzi ule tumekishudia kwa macho yetu. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Nimecheka kwa nguvu hapo uliposema mawakili wa serikali wako makini. Sitaki kuharibu utetezi wako, nakushauri shikilia hapo hapo.
Acha ujinga kama kosa kwanini msimpeleke mahakamani ithibitike ? Usaliti ? Usaliti upi? Weka ushahidi hapa Pimbi mkubwa nyinyi mtdkuwa nfio wahusika wenyewe . Tumia hata akili ya ng'ombe kuutikisa mkia na sio mkis kutikisa ng'ombeAskofu anastukia kivuli chake!!
kama kuna usaliti wowote kafanya, afanye toba mapema.
Saa inakuja ambayo kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake.
Kofia ya uaskofu haitasaidia wakati ukiwadia.
Halafu aliowatuma wabaya sana wakampiga na mapakatinga .Endelea kujidanganya kwa kudhani uko salama , Nape alipokuwa anazurula na Kinana kabla ya 2015 hakudhani kuna siku Jiwe atamtumia watu wamuue , zamu yako yaja
Kamwulize mamako!Ila wewe utafika au?
Viongozi wa kidini waganye kazi za kiroho waache siasa, wakienda kinyume na maadili ya kazi yao lazima wafundishwe.Hata Hitler alikuwa mnyama ila sio kwa viongozi wa dini. Hii ni too much. Ila kama kuna mpango kama huu, waache mara moja.
Matokeo yake ni magumu kuyafikiria, itakuwa na madhara makubwa sana
Vip mmefika wapi lakn tunawaonya narudia tunawaonya chamoto mtakipataAripoti hili suala polisi, nina imani vyombo vyetu vya usalama vitalishughulikia kwa haraka
Ni pale mtumishi wa Mungu anapokuwa muongo, mwambieni nae akimbilie Roma,si analindwa na Mungu sasa anaogopa nini?Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao.
Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu.
Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Hata Hitler alikuwa mnyama ila sio kwa viongozi wa dini. Hii ni too much. Ila kama kuna mpango kama huu, waache mara moja.
Matokeo yake ni magumu kuyafikiria, itakuwa na madhara makubwa sana
we uza mpunga kwa bei ya hasara huko kapamisya baada ya nchi kufirisika , haya mengine huyaweziNi pale mtumishi wa Mungu anapokuwa muongo, mwambieni nae akimbilie Roma,si analindwa na Mungu sasa anaogopa nini?
Mkuu ukijikumbusha ya Masheikh wa Uamsho, Sh. Ponda usisahau ya Askofu wa Ngara. Hii ni Afrika na madaraka hulindwa... je Askofu Luwum alisalimika kwa Idd Amin?Hata Hitler alikuwa mnyama ila sio kwa viongozi wa dini. Hii ni too much. Ila kama kuna mpango kama huu, waache mara moja.
Matokeo yake ni magumu kuyafikiria, itakuwa na madhara makubwa sana
Jesuit ni shirika la Catholic ndugu ... na Catholic hatuna wapuuzi kama haoBaba Askofu koki mk 47 yako najua wewe ni Jesuit ..wakija wamalize huku una mwanga maji ya upako
If you kill Bishop Bagonza: a) you will go to hell b) you'll waste your bullets, bullets cost money c) you will get nothing in compensation. Why kill him?Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao.
Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu.
Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
-----
Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) Karagwe Diocese Bishop Benson Bagonza said yesterday he has beefed up his security as a measure to safeguard his life after some unknown people started stalking him.
However, Kagera Regional Police Commander Revocatus Malimi told The Citizen that they had no reports that the bishop’s life was in danger because he had not reported the matter to them.
“We have no information, so we have nothing to say. It’s the first time I hear about this, and it is from you. If he decides to report the matter, we’ll take the usual steps, including investigating and observing how the matter develops,” he said.
In response, Bishop Bagonza admitted that he had not reported the matter to the police, which he said came as tip from some good Samaritans.
Bishop Bagonza revealed this to The Citizen following his tweet that had gone viral on social media. It read: “It is true that I’m not safe. There are people who seek to impress those in power by taking my life. They have camped here as they look for ways to hurt me, nobody has sent them. They believe that by doing so, they will get favours of higher authorities. I’m ready. I will not run”.
Following the message, Tundu Lissu responded: “I have known Bishop Ben Bagonza of the ELCT Diocese of the North West since 1995.
Bishop Bagonza is a courageous religious leader who stands up for the truth. ‘Unknown people’ are threatening his life. I stand with Bishop Bagonza against those who threaten his life”. Dr Bagonza revealed that a few days ago he was being stalked by some unknown people who appeared to have malicious intentions against him.
Explaining further, he said the men who had been stalking him stopped after he went on social media over the incident. “At the moment the situation is calm, because as you know, I sent the message on social media last week,” he said.
“These are rogues that are accusing me of being in the opposition, which is not true, because I am not a member of any political party, my crime is that I only speak the truth as I see it,” he said.
Unfortunately, he said, he did not get a chance to see the people’s faces. Bishop Bagonza is among vocal religious leaders who often speak on public affairs without fear or hesitation which has made him popular in recent times.
Through his message that circulated on social media, and which he admitted was his, he wrote: “A person who tells the truth will be killed, the truth will remain, even if a liar dies, the lie remains”.
“Who said a prophet must be pure? Isaiah, Jeremiah, and others asked to be cleansed before being sent. No one is to be cleansed from his uncleanness. If so, defile yourself without polluting others, ”wrote Dr Bagonza.
Source: Citizen
Mgh labda !!!Aripoti hili suala polisi, nina imani vyombo vyetu vya usalama vitalishughulikia kwa haraka
Ni vema ukawauliza wauajiAmefanya nini mpaka atishiwe maisha?
Ni fashisti sioMagufuli sio dikitekta, kuwa na heshima kwa Rais wetu.