Askofu Benson Bagonza adai kuna wanaotaka kumdhuru, wamefika Karagwe

Askofu Benson Bagonza adai kuna wanaotaka kumdhuru, wamefika Karagwe

Tuko hapa hapa nchini boss, wanachokifanya mahakama tunakijua na kukiona. Kama umeamua kufanya utetezi wa haya yanayoendelea ni haki yako, lakini hilo haliondoi uhalisia wa kile kinachoendelea kwenye hizo mahakama, inapokuwa suala la kutenda haki kwa wapinzani. Kilichofanyika kwenye uchaguzi ule tumekishudia kwa macho yetu. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Nimecheka kwa nguvu hapo uliposema mawakili wa serikali wako makini. Sitaki kuharibu utetezi wako, nakushauri shikilia hapo hapo.

Nalumbuka hata uchaguzi ndani ya Chadema ulilalamikiwa sana kuwa uligubikwa na figisu nyingi!

Lugha waliyotumia maveterani ndani ya Chadema kuvuruga uchaguzi wa ndani ni kuwa wanawasafisha mamluki na wasaliti . Wakafanya uchaguzi wa Demokrasia ya aina yake ya kupanga washindi walioona wanaendana na matakwa ya maveterani wakiongozwa na mashabiki wa Viongozi wa juu wa chama. Ukweli ni kuwa hapakuwa na uhuru wa wanachama wa Chadema kuwasikiliza ,kuwahoji na kuchagua viongozi wao kwa uhuru ,uwazi na haki bila kundi fulani kungilia haki ya wanachama kuamua waongozwe na nani!!

Mbinu hiyo hiyo ikatumiwa na CCM na serikali yake kuhujumu chaguzi za wazi ,haki na huru kwa lugha ile ile ya kudhiniti Wasaliti wa nchi na nchi kuuzwa kwa mabeberu . Lengo ni lile lile kuhalalisha ubakaji wa Demokrasia ya kweli inayowapa wananchi uhuru wa kuchagua waongozwe na nani!!

Waafrika ni waroho sana wa kukalia madaraka kwenye ngazi zote. Ndio maana watu wanaua na kuiba kura kwenye uongozi mdogo kabisa kama uenyekiti wa serikali za mitaa. Yani kazi ambayo mtu akishindwa kwa haki anapaswa kushukuru mana kama aliombwa na wananchi kuwa agombee anakua ameepuka mzigo mzito wa kujitolea kutumikia umma.

Nakumbuka hata siasa vyuoni huwa watu wanatumia figisu ngingi lakini lengo hasa ni maslahi na unafuu wa kuishi chuoni na viposho vya hapa na pale.
Waafrika hawawezi kujitoa bila kuona maslahi au kuahidiwa maslahi. Ndio maana ni rahisi sana kijana aliyehitimu chuo kujiunga na makundi ya ugaidi kwa sababu tu ya kuahidiwa pepo baada ya kufa ,badala ya kujotolea kuihudumia jamii bure hata kwa kwenda huko vijijini kuvoluntia kama wanavyofanya wazungu maarufu kwa jina la Mabeberu .

Jambo la msingi ni kujenga jamii yenye misingi ya Demokrasia bila kujali vyama . Ndani ya CCM kuna madikteta wasiopenda haki,uwazi na demokrasia ndani na nje ya chama. Halikadhalika ndani ya Chadema wapo wasiotaka kushindanishwa kwa uhuru ,haki na uwazi kwenye nafasi walizokalia.
Cha msingi ni kusimama kwenye misingi ya Utawala bora na Demokrasia hata kama yule anayedhani kuwa yeye ndiye chama stakosa basi akose na ndiyo gharama ya Demokrasia.
 
Askofu anastukia kivuli chake!!
kama kuna usaliti wowote kafanya, afanye toba mapema.

Saa inakuja ambayo kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake.

Kofia ya uaskofu haitasaidia wakati ukiwadia.
Acha ujinga kama kosa kwanini msimpeleke mahakamani ithibitike ? Usaliti ? Usaliti upi? Weka ushahidi hapa Pimbi mkubwa nyinyi mtdkuwa nfio wahusika wenyewe . Tumia hata akili ya ng'ombe kuutikisa mkia na sio mkis kutikisa ng'ombe
Endelea kujidanganya kwa kudhani uko salama , Nape alipokuwa anazurula na Kinana kabla ya 2015 hakudhani kuna siku Jiwe atamtumia watu wamuue , zamu yako yaja
Halafu aliowatuma wabaya sana wakampiga na mapakatinga .
 
Hata Hitler alikuwa mnyama ila sio kwa viongozi wa dini. Hii ni too much. Ila kama kuna mpango kama huu, waache mara moja.

Matokeo yake ni magumu kuyafikiria, itakuwa na madhara makubwa sana
Viongozi wa kidini waganye kazi za kiroho waache siasa, wakienda kinyume na maadili ya kazi yao lazima wafundishwe.
 
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao.

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu.

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Ni pale mtumishi wa Mungu anapokuwa muongo, mwambieni nae akimbilie Roma,si analindwa na Mungu sasa anaogopa nini?
 
Ni pale mtumishi wa Mungu anapokuwa muongo, mwambieni nae akimbilie Roma,si analindwa na Mungu sasa anaogopa nini?
we uza mpunga kwa bei ya hasara huko kapamisya baada ya nchi kufirisika , haya mengine huyawezi
 
Hata Hitler alikuwa mnyama ila sio kwa viongozi wa dini. Hii ni too much. Ila kama kuna mpango kama huu, waache mara moja.

Matokeo yake ni magumu kuyafikiria, itakuwa na madhara makubwa sana
Mkuu ukijikumbusha ya Masheikh wa Uamsho, Sh. Ponda usisahau ya Askofu wa Ngara. Hii ni Afrika na madaraka hulindwa... je Askofu Luwum alisalimika kwa Idd Amin?
 
Mtu akitaka kwenda kuishi ulaya tu bure bure anatafuta gia ya kuchafua taifa lake kisha anasepa!!!
Jamani na mimi natishiwa kwenye ndoto!!!!!
 
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao.

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu.

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza

-----

Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) Karagwe Diocese Bishop Benson Bagonza said yesterday he has beefed up his security as a measure to safeguard his life after some unknown people started stalking him.

However, Kagera Regional Police Commander Revocatus Malimi told The Citizen that they had no reports that the bishop’s life was in danger because he had not reported the matter to them.

“We have no information, so we have nothing to say. It’s the first time I hear about this, and it is from you. If he decides to report the matter, we’ll take the usual steps, including investigating and observing how the matter develops,” he said.

In response, Bishop Bagonza admitted that he had not reported the matter to the police, which he said came as tip from some good Samaritans.

Bishop Bagonza revealed this to The Citizen following his tweet that had gone viral on social media. It read: “It is true that I’m not safe. There are people who seek to impress those in power by taking my life. They have camped here as they look for ways to hurt me, nobody has sent them. They believe that by doing so, they will get favours of higher authorities. I’m ready. I will not run”.

Following the message, Tundu Lissu responded: “I have known Bishop Ben Bagonza of the ELCT Diocese of the North West since 1995.

Bishop Bagonza is a courageous religious leader who stands up for the truth. ‘Unknown people’ are threatening his life. I stand with Bishop Bagonza against those who threaten his life”. Dr Bagonza revealed that a few days ago he was being stalked by some unknown people who appeared to have malicious intentions against him.

Explaining further, he said the men who had been stalking him stopped after he went on social media over the incident. “At the moment the situation is calm, because as you know, I sent the message on social media last week,” he said.

“These are rogues that are accusing me of being in the opposition, which is not true, because I am not a member of any political party, my crime is that I only speak the truth as I see it,” he said.

Unfortunately, he said, he did not get a chance to see the people’s faces. Bishop Bagonza is among vocal religious leaders who often speak on public affairs without fear or hesitation which has made him popular in recent times.

Through his message that circulated on social media, and which he admitted was his, he wrote: “A person who tells the truth will be killed, the truth will remain, even if a liar dies, the lie remains”.

“Who said a prophet must be pure? Isaiah, Jeremiah, and others asked to be cleansed before being sent. No one is to be cleansed from his uncleanness. If so, defile yourself without polluting others, ”wrote Dr Bagonza.

Source: Citizen
If you kill Bishop Bagonza: a) you will go to hell b) you'll waste your bullets, bullets cost money c) you will get nothing in compensation. Why kill him?

My question to Bishop Bagonza is simple: why don't you report it to the Police? They will ask you who do you suspect but you will not be asked to furnish proof, just suspicions is enough. If you report a suspect, nobody will be arrested, nor ve taken to court: they will just call the suspect and give him a statutory warning. In 99 cases out of 100, it works. Kama ni credible, watakupa bodyguard, wewe mtu mkubwa. Kama hawakupi, KKKT itakupa.

Of course unchecked matusi ya tundulissu "...wewe kipilimba na wewe igp surrounded watoeni hawo vikaragosi wenu wasinifuatefuate....". Nenda kituoni rasmi, kwa adabu na untenyekevu, utasaidiwa Inshaallah.

Of course pia kuna maisha Canada, jamaa wameshapagundua, genda!

ZFZMWCCM
 
Back
Top Bottom