Mtafuta kiki, akiona hajadiliwi anatafuta Kiki. Hivi kweli watake kummaliza ili kwasababu zipi za Msingi anazozifahamu mwenyewe cz yasije yakawa ya Ben Saanane Kujiteka, Abdul Nondo Kujiteka yoote ikiwa ni kutaka kutengeneza taharuki kwenye jamii huuu ni upuuuuzi.
Kwanza Kiongozi wa Dini kutwa kutafuta maneno ya kuikebei siyo kuikosoa Serikali iliyopo Madarani harafu unajiita Mtumishi wa Mungu na huku kwenye Bible ikiwa imeandikwa yaheshimuni Mamlaka yaliyopo Duniani. Huyu Mtu kutwa kuikebei Serikali ni Mtumishi wa Mungu wa aina gani, aache kutudhalilisha wakristo.
Vievile umewahi kuona wala kusikia Wapi Kiongozi wa Dini wenzako Wanamuomba Mungu awaepushie balaa la Covid 19 yeye anaaanza kuhamasisha waumini wasimuombe Mungu kupambana na Janga ambalo mpaka sasa linaisurubu Dunia, huyu kweli ni Kiongozi wa Kiroho au Mimi sielewi. Anatakiwa atubu dhambi zake au bado ameathiriwa na ile vita ya kwao kule ambayoilisababisha Wazazi wake wakimbie na ndugu zake 3/4 Kutojulikana wako wapi