Askofu Benson Bagonza adai kuna wanaotaka kumdhuru, wamefika Karagwe

Askofu Benson Bagonza adai kuna wanaotaka kumdhuru, wamefika Karagwe

Ninavyojua Watu wakikuamulia hasa Kukumaliza huwezi kamwe kujua na hata wa karibu yako hakuna ambaye atajua. Sasa huyu Askofu anatuboa!
Lisu alijuaje? Sikia hakuna Siri chini ya Jua YESU ALISEMA YALE YALIONENWA KWA SIRI YATAHUBIRIWA JUU YA MAPAA YA NYUMBA.
 
Mtafuta kiki, akiona hajadiliwi anatafuta Kiki. Hivi kweli watake kummaliza ili kwasababu zipi za Msingi anazozifahamu mwenyewe cz yasije yakawa ya Ben Saanane Kujiteka, Abdul Nondo Kujiteka yoote ikiwa ni kutaka kutengeneza taharuki kwenye jamii huuu ni upuuuuzi.
Kwanza Kiongozi wa Dini kutwa kutafuta maneno ya kuikebei siyo kuikosoa Serikali iliyopo Madarani harafu unajiita Mtumishi wa Mungu na huku kwenye Bible ikiwa imeandikwa yaheshimuni Mamlaka yaliyopo Duniani. Huyu Mtu kutwa kuikebei Serikali ni Mtumishi wa Mungu wa aina gani, aache kutudhalilisha wakristo.
Vievile umewahi kuona wala kusikia Wapi Kiongozi wa Dini wenzako Wanamuomba Mungu awaepushie balaa la Covid 19 yeye anaaanza kuhamasisha waumini wasimuombe Mungu kupambana na Janga ambalo mpaka sasa linaisurubu Dunia, huyu kweli ni Kiongozi wa Kiroho au Mimi sielewi. Anatakiwa atubu dhambi zake au bado ameathiriwa na ile vita ya kwao kule ambayoilisababisha Wazazi wake wakimbie na ndugu zake 3/4 Kutojulikana wako wapi
Kama sifa ya ukristo ni kuona uovu na kuushangilia na kusapoti wanaoufanya Kwa sababu tu wanamamlaka.basi itakuwa ni dini kipumbavu kuliko dini zote duniani
 
An
Anae mlinzi mungu sasa anaogopa nini?
Pia kama hatapeleka taarifa police ni umbea tu kama wa wenzake.
Anataka kutengeneza picha kama la wenzake
Unaleta upuuzi wa kishetani anamwambia Yesu jirushe maana imeandikwa atakutumia malaika usijikwae mguu wako.
 
Chamsingi Askofu atulie kabisa, aachane na kuangaikia binadam wasio na shukrani, asije akapoteza maisha yake bure.
Chamsingi atulie kama wenzake, aendelee na maisha yake, habari za kutetea haki za watu wasiojitambua wala wasiokuwa na shukrani zimepitwa na wakati, kila mmoja apambane na hali yake.
NB: Askofu tulia, kula bata kama maaskof wenzako achana na mambo mengine, utauwawa bure ohooooooo!!!!!
 
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao.

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu.

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Akitorekea Canada sisiem wanakuja kudaia kaenda jela ya kufikirisha. MATAGA ni janga la Taifa
 
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao.

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu.

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
A precedence has been set. Any thing is possible in our today's TZ. Achukue tahadhali. Nasi wakosoaji humu JF hatuko salama.
 
Bandiko lako refu linajichanhanya. Unamuunga mtu mkono iwapo umeona uchaguzi wa haki na sio vinginevyo. Iko siku utataka watu wauonge mkono serikali ya kijeshi. Kuingia madarakani kihalali kunakupa haki ya kutaka kuungwa mkono, na sio kinyume chake.
Nani amethibitisha kuwa uchaguzi haukua wa haki?

Ni mbunge yupi ameenda mahakani kupinga matokeo ya jimbo lake ?
Yani watu uchaguzi unakwisha hakuna hata diwani aliyekwenda mahakamani kupinga matokeo ili tupate uhalali wa kuwataja waliohusika kuvuruga uchaguzi!!

Wapinzani wanakua kama walinunuliwa ili wakubali matokeo mpaka ya udiwani na ubunge yanayohojiwa mahakamani!!
Kutoenda mahakamani kutafuta haki ni sawa na kukubali kuwa uchaguzi ulikua huru na haki.
 
Nani amethibitisha kuwa uchaguzi haukua wa haki?

Ni mbunge yupi ameenda mahakani kupinga matokeo ya jimbo lake ?
Yani watu uchaguzi unakwisha hakuna hata diwani aliyekwenda mahakamani kupinga matokeo ili tupate uhalali wa kuwataja waliohusika kuvuruga uchaguzi!!

Wapinzani wanakua kama walinunuliwa ili wakubali matokeo mpaka ya udiwani na ubunge yanayohojiwa mahakamani!!
Kutoenda mahakamani kutafuta haki ni sawa na kukubali kuwa uchaguzi ulikua huru na haki.

Tumeona kwa macho yetu kilichofanyika, ni kweli walipaswa kwenda mahakamani, lakini mahakama zimekubali kutumikia siasa chafu. Hilo limesababisha wapinzani kupoteza imani na hizo mahakama.
 
Kuna watu wapumbavu sana tanzania. Hivi mlishaona wapi mtu ni mkimbizi halafu analipwa dola 6000 kila mwezi toka watu waanze kukimbia nchi zao. Tanzania tunahost mamilioni ya wakimbizi, ulishasikia wanalipwa hata thumni. Wakimbizi wa tz wanalipwa dola 6000 kila mwezi. Kina boganza sio maaskofu bali matapeli wenye tamaa ya pesa tu.

Nawe kawe mkimbizi ulipwe hiyo $6,000.
 
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao.

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu.

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Mtu mmoja aliacha kuwahubiria kondoo waliopotea na kujiingiza kwenye siasa huku akibaki kuwa na hofu wakati ana Mungu. Naanza kuwa na mashaka naye. Watumishi gani wa Mungu huwa wanaogopa kufa
 
Anatafuta Kiki kwa baiskeli, watu wamekuja kukudhuru na wewe mlengwa una taarifa, halafu umetulia unasubiri wakudhuru, yataka uwe msukule kweli kweli kama mwana saccos ndio uamini [emoji16][emoji23]
 
Tumeona kwa macho yetu kilichofanyika, ni kweli walipaswa kwenda mahakamani, lakini mahakama zimekubali kutumikia siasa chafu. Hilo limesababisha wapinzani kupoteza imani na hizo mahakama.


Hukumu za mahakama ni sheria inayoweza kutumika kwenye jumuiya za madola kutoa hukumu nyingine.
Unafiliri ni Juji gani atatoa hukumu kinyume na sheria iliyopo wazi kama hakuna Contradiction?

Unajua kwa muda mrefu mahakama zilikua zinatoa hukumu za kuilalia serikali. Hata wezi wengi walitegemea kuishinda serikali mahakamani . Kwa sasa mawakili wa serikali wapo makini zaidi .
Jambo la msingi ni ushahidi usio na shaka.

Mfano Lema badala ya kwenda mahakamani yeye amekwenda kuwa mkimbizi Canada.

Mihimili yote inatenda haki tatizo ni watu wanatembea naaamuzi yao mfukoni.

Mtu anasema amekamata kura feki halafu mtu huyo huyo, anachoma moto kielele hicho.
 
Hukumu za mahakama ni sheria inayoweza kutumika kwenye jumuiya za madola kutoa hukumu nyingine.
Unafiliri ni Juji gani atatoa hukumu kinyume na sheria iliyopo wazi kama hakuna Contradiction?

Unajua kwa muda mrefu mahakama zilikua zinatoa hukumu za kuilalia serikali. Hata wezi wengi walitegemea kuishinda serikali mahakamani . Kwa sasa mawakili wa serikali wapo makini zaidi .
Jambo la msingi ni ushahidi usio na shaka.

Mfano Lema badala ya kwenda mahakamani yeye amekwenda kuwa mkimbizi Canada.

Mihimili yote inatenda haki tatizo ni watu wanatembea naaamuzi yao mfukoni.

Mtu anasema amekamata kura feki halafu mtu huyo huyo, anachoma moto kielele hicho.
Tuko hapa hapa nchini boss, wanachokifanya mahakama tunakijua na kukiona. Kama umeamua kufanya utetezi wa haya yanayoendelea ni haki yako, lakini hilo haliondoi uhalisia wa kile kinachoendelea kwenye hizo mahakama, inapokuwa suala la kutenda haki kwa wapinzani. Kilichofanyika kwenye uchaguzi ule tumekishudia kwa macho yetu. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Nimecheka kwa nguvu hapo uliposema mawakili wa serikali wako makini. Sitaki kuharibu utetezi wako, nakushauri shikilia hapo hapo.
 
Askofu anastukia kivuli chake!!
kama kuna usaliti wowote kafanya, afanye toba mapema.

Saa inakuja ambayo kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake.

Kofia ya uaskofu haitasaidia wakati ukiwadia.
Extremely well said.
 
Back
Top Bottom