NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Askofu anatia aibu kwakweli,anaanza uzushi kama wa wanasiasa Lisu na Lema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maviii, atabakia na shughuli yake ya kuwanyima watu haki ya kuishi, sana sana ataambulia ukuu wa mkoa wa DodomaSi ndio wanasema atachukua nafasi ya Simbachawene wizara ya mambo ya ndani , au ?
Hivi bado makanisa yake yako lockdown? au baadaye aliungana na "dictetor"?Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao...
Unaonaje ukitangulia ukamuacha.? Maana swala la kufa haliangalii ugonjwa tu, mtu anaweza kuwa kitandani kea miaka 5,wewe mwenye afya njema ukatangulia kwa ajali ya gari.Wapi bwana, kwa jinsi nilivyomwona anatembea na ma AC? Hafiki mbali huyo!
Hata nyumbu wameongezeka na sasa wanaliwa na hao wapumbavu.Awamu hii imetengeneza wapumbavu wengi
Unaifahamu historia ya mfalme Ahabu ?Pale mtu wa Mungu anapogoma kumpa heshima Kaisali na huku akijitapa kumpa heshima Mungu wakati kufanya hivyo anajua kabisa anamfanyia utovu wa nidhamu Mungu! Mungu ameishaagiza, ya Kaisali mpe na Ya Mungu ampe tena kwa heshima.
Ubaya hulipwaila kiukweli katika dhambi amabayo imefanya huu utawala kitendo cha kummaliza saanane na lissu kumvunja viungo na wengine kuwamaliza kabisa haitasahaulika wafanye wafanyavyo..hili magufuli ulikosea sana tena sana.
Shusha somo, Mkuu. Nipo JF kujifunza. Natanguliza shukrani.Unaifahamu historia ya mfalme Ahabu ?
Wageni si tatizo ila wageni wauaji ndo tatizoKwahiyo wageni hawatakiwi Karagwe kisa yupo askofu wenu ?
hakuna ugonjwa mbaya duniani kama kukosa akili, bora ungekaa kimya kuficha ujinga wako.Anataka kukimbia nchi tu hana jipya
Na ndio maana nchi ikipatwa na majanga watu wanafurahi serikali ikibagazwa watu wanashangilia kwasababu ya mambo.kama haya kiukweli serikali ya magufuli chini ya CCM imewagawa Sana watu naamini ikitokea Vita na yeyote tunachapwa mchana kweupeeee kwasababu ya CCM na serikali yake.Ukisoma comment za wachangiaji waweza toa machozi yani utagundua kuna watu awam hii kwao mtu kuuliwa au kuumizwa ni sawa kabisa tena hata aibu hawana sasa kama kila mkosoaji kwenu kifo no haki yake sasa hayo maendereo nani atayashuhudia? Enyi wagalatia ninani kawaloga
" Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.Unajua isivyo. Yarabi toba, wiki hii umekula maharage gani? Kama ni wehu umechizika. Umepatwa na nini mjivuni juha?
Serikali ya Tanzania wala Chama Cha Mapinduzi havihusiki na 'Mauwaji' yoyote yaliyotokea kwa hao 'Wapendwa' Wenu na 'Muuwaji' wenu mnae tu.Lakini sio mmoja au wawili waliosema uhai wao uko hatarini na kweli yakatokea. Je hayo yaliyotokea yalishindikanaje kufichwa?
Wewe ni mwendawazimu. Lisu kabla hajashambuliwa, hakujua kuwa alikuwa anatafutwa adhuriwe? Hakulitaarifu jeshi la polisi? Ben Saanane, kabla ya kupotezwa, baada ya kuhoji uhalali wa PhD, hakueleza kuwa alikuwa anatishiwa?Ninavyojua Watu wakikuamulia hasa Kukumaliza huwezi kamwe kujua na hata wa karibu yako hakuna ambaye atajua. Sasa huyu Askofu anatuboa!
Kama anaweza afanye hima. Huu utawala hauna huruma wala aibu, una uwezo wa kumtoa mtu uhai mbele ya kundi la watu kwa kujua hakuna atakayewanya kitu.Kwahiyo Bagonza naye yuko mbioni kukimbia nchi!!!
Naendelea Kusisitiza tena nikijiamini kabisa kuwa Serikali ya Tanzania na Chama Cha Mapinduzi hakihusiki na hayo' Mauwaji' yenu. Tumewachoka!!!Wewe ni mwendawazimu. Lisu kabla hajashambuliwa, hakujua kuwa alikuwa anatafutwa adhuriwe? Hakulitaarifu jeshi la polisi? Ben Saanane, kabla ya kupotezwa, baada ya kuhoji uhalali wa PhD, hakueleza kuwa alikuwa anatishiwa?
Mbona mnakosa akili za kuchangia hoja japo kwa kiwango cha akili ya chini?
Sent using Jamii Forums mobile app
achana kabisa na mungu utalaaniwaNi heri umkosoe Mungu kuliko jiwe