[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ona haka nako, huwezi kuvumilia wewe na nani? Na huyo muuaji ni nani? Kumbe unamjua sasa si mumfuate na risasi hata za kukodi mkampige aache kuua watu?
Umeanza tena kuleta mikwara yako kama ile ya wakati wa kampeni?
Bagonza inamtesa dhambi ya kumshabikia loser Lisu, na tulimuonya yeye kama kiongozi wa tasisi kama KKKT hapaswi kufanya vile. Unaona sasa tabu anayopata?
Haamini katika Mungu ndio maana mimi nasemaga hata tunguli atakuwa nazo lazima. Wakati wenzie wameungana kuomba kwa ajili ya corona yeye alifunga makanisa kwenye dayosisi yake ili kuwafurahisha kina Mbowe, yani tz nzima ni yeye pekeeake ndio alifunga makanisa kwa sababu yeye ana phd na ana akili sana, yani hata wapagani walimzidi kiimani huyu askofu,!