Askofu Benson Bagonza adai kuna wanaotaka kumdhuru, wamefika Karagwe

Askofu Benson Bagonza adai kuna wanaotaka kumdhuru, wamefika Karagwe

Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao .

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu .

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Kimbilia Kenya halafu tafuta nchi yakwenda
 
Huyu askofu naye ataftiwe bwana amfate mwenzie huko.
Magu yuko kazini hakumbuki hata km kuna mtu anaitwa Bagonza sijui wapi
 
Ukisoma comment za wachangiaji waweza toa machozi yani utagundua kuna watu awam hii kwao mtu kuuliwa au kuumizwa ni sawa kabisa tena hata aibu hawana sasa kama kila mkosoaji kwenu kifo no haki yake sasa hayo maendereo nani atayashuhudia? Enyi wagalatia ninani kawaloga
 
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao .

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu .

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Duh Bagonza inabidi ifike muda atulie tu, maana anawasemea kuna siku watamdissapoint, yani wanasiasa hawaaminikia hata kidogo
 
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao .

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu .

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Mtafuta kiki, akiona hajadiliwi anatafuta Kiki. Hivi kweli watake kummaliza ili kwasababu zipi za Msingi anazozifahamu mwenyewe cz yasije yakawa ya Ben Saanane Kujiteka, Abdul Nondo Kujiteka yoote ikiwa ni kutaka kutengeneza taharuki kwenye jamii huuu ni upuuuuzi.
Kwanza Kiongozi wa Dini kutwa kutafuta maneno ya kuikebei siyo kuikosoa Serikali iliyopo Madarani harafu unajiita Mtumishi wa Mungu na huku kwenye Bible ikiwa imeandikwa yaheshimuni Mamlaka yaliyopo Duniani. Huyu Mtu kutwa kuikebei Serikali ni Mtumishi wa Mungu wa aina gani, aache kutudhalilisha wakristo.
Vievile umewahi kuona wala kusikia Wapi Kiongozi wa Dini wenzako Wanamuomba Mungu awaepushie balaa la Covid 19 yeye anaaanza kuhamasisha waumini wasimuombe Mungu kupambana na Janga ambalo mpaka sasa linaisurubu Dunia, huyu kweli ni Kiongozi wa Kiroho au Mimi sielewi. Anatakiwa atubu dhambi zake au bado ameathiriwa na ile vita ya kwao kule ambayoilisababisha Wazazi wake wakimbie na ndugu zake 3/4 Kutojulikana wako wapi
 
anatafuta kuhalalisha kukimbia nje kama mkimbizi gia ya kutunga hiyo wazungu jiandaeni kumlisha huyo askofu ambaye kachokwa kwenye dayosisi yake hafanyi kazi za dayosisi kutwa siasa
 
Hao watu wanataka kummalizia kanisani au kwenye majukwaa ya siasa?,afanye linalomuhusu.
 
An
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao .

Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu .

Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Anae mlinzi mungu sasa anaogopa nini?
Pia kama hatapeleka taarifa police ni umbea tu kama wa wenzake.
Anataka kutengeneza picha kama la wenzake
 
Police Hawa Hawa au wengine.Hata Lisu,ben waliriport polisi
Tuonyeshe wapi walilipoti hao uliowataja?
Siku hizi ukiandika hapa JF basi umelipoti police,
Kama una vielelezo vyao vya kulipoti police viweke hapa, hatutaki uongo hapa.
Juzi Tundu kakimbilia ubalozi ndo akaenda kulipoti huko, Lema nae kaenda kulipoti kenya sasa hao ndo uwaite walilipoti police?
Acheni umbea.
 
Eti nchi ya kijamaa Yani nyie watu mnamawazo ya kizinjanthropus daaah.

Wewe unaisomaje Katiba ya nchi.?

Ujamaa unautafsirije?
Kwa hiyo hutaki nchi yetu iendeshwa kijamaa.?
Mtachelewa sana kuingia madarakani ?
Wewe ubepari unauweza ?

Nchi yenye mabilionea wasiofika hata mia moja inaweza kuukwepa ujamaa!!?
 
Hata Hitler alikuwa mnyama ila sio kwa viongozi wa dini. Hii ni too much. Ila kama kuna mpango kama huu, waache mara moja.

Matokeo yake ni magumu kuyafikiria, itakuwa na madhara makubwa sana
Hakuna mtu anaweza kiwa na shida na bagonza, hasa kwa lipi?
Mamabo yake hayana hoja wala hata anaowaongoza kanisani kwake hakuna anaye yajali sasa uhangaike na mtu amabye anatafuta uteuzi chadema?
Mambo anayo yaandika ni sawa na ya mke mwenza.
 
Ninavyojua Watu wakikuamulia hasa Kukumaliza huwezi kamwe kujua na hata wa karibu yako hakuna ambaye atajua. Sasa huyu Askofu anatuboa!
Mbona Ben alijua, Lissu pia alijua na wote hao waliripoti polisi?
 
Bagonza mimi nilimuonya toka zamani kwamba atapata tabu sana baada ya mtu wake anaemshabikia kushindwa urais.
 
Karagwe si ni mpakani,avuke tu border arudi kwao!

Kwa sasa hii ndo fashion kwa losers!
 
Back
Top Bottom