Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mama yako si ndio ?Sababu za kupata Rais mwanamke mwanzoni mwakani zinazidi kujitosheleza
Si ndio wanasema atachukua nafasi ya Simbachawene wizara ya mambo ya ndani , au ?Hivi nani kamuona bashite hivi karibuni?
Haki yake isingeporwa yasingetokea hayaSababu za kupata Rais mwanamke mwanzoni mwakani zinazidi kujitosheleza
Endelea kujidanganya kwa kudhani uko salama , Nape alipokuwa anazurula na Kinana kabla ya 2015 hakudhani kuna siku Jiwe atamtumia watu wamuue , zamu yako yajaAwatumie makamanda uchwara wa ufipa.
Enzi na enzi zikakufikie hata uzee wakoHuyo bagonza naona ugonjwa umeanza kupanda kichwani sasa.
Wamefika karagwe siawakamate.
Kaka rudi Mombasa ukaendelee kuwachumia mchichaAskofu anastukia kivuli chake!!
kama kuna usaliti wowote kafanya, afanye toba mapema.
Saa inakuja ambayo kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake.
Kofia ya uaskofu haitasaidia wakati ukiwadia.
Ninavyojua Watu wakikuamulia hasa Kukumaliza huwezi kamwe kujua na hata wa karibu yako hakuna ambaye atajua. Sasa huyu Askofu anatuboa!Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao .
Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu .
Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza
Kwahiyo Bagonza naye yuko mbioni kukimbia nchi!!!Jiwe ni mtu hatari sana! Alafu watu wakikimbia nchi, MATAGA wanaona kama ni kutafuta umaarufu na kuchafua nchi wakati mambo wenyewe ndio haya.
Sababu kubwa ya kutaka kumuua ni kusema ukweli kuhusu hali mbaya ya haki za binadamu, udhalimu Nchini na kukosa kama demokrasi ya kweli. Msikilizeni Warioba hapa chini bila ya shaka huyo anayejiita mwendawazimu ataanza kutishia uhai wake.
TISS mnaua watanzania wenzenu kwa maslahi ya mtu mmoja. Kwanini msimuue yeye aliyemuweka mtoto wa dada yake HAZINA ili aibe vizuri????Askofu anastukia kivuli chake!!
kama kuna usaliti wowote kafanya, afanye toba mapema.
Saa inakuja ambayo kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake.
Kofia ya uaskofu haitasaidia wakati ukiwadia.
Utaingia kwenye majuto kama TumainiEl kwa Ben SaananeAskofu anastukia kivuli chake!!
kama kuna usaliti wowote kafanya, afanye toba mapema.
Saa inakuja ambayo kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake.
Kofia ya uaskofu haitasaidia wakati ukiwadia.
Huyo bagonza naona ugonjwa umeanza kupanda kichwani sasa.
Wamefika karagwe siawakamate.
Kwahiyo wageni hawatakiwi Karagwe kisa yupo askofu wenu ?