Askofu Benson Bagonza adai kuna wanaotaka kumdhuru, wamefika Karagwe

Ninavyojua Watu wakikuamulia hasa Kukumaliza huwezi kamwe kujua na hata wa karibu yako hakuna ambaye atajua. Sasa huyu Askofu anatuboa!
 
Duuu askofu wetu wanataka kumfanya nini hawa TISS

maana tushazoea hatukawii kusikia kapotea katekwa kwashambuliwa kauwawa na watu wasiojulikana

wanaotekeleza na wanapanga na wanao toa maelekezo Mungu wa haki awaumbue na awahukumu upesi
 
Jiwe ni mtu hatari sana! Alafu watu wakikimbia nchi, MATAGA wanaona kama ni kutafuta umaarufu na kuchafua nchi wakati mambo wenyewe ndio haya.
Kwahiyo Bagonza naye yuko mbioni kukimbia nchi!!!
 
Sababu kubwa ya kutaka kumuua ni kusema ukweli kuhusu hali mbaya ya haki za binadamu, udhalimu Nchini na kukosa kama demokrasi ya kweli. Msikilizeni Warioba hapa chini bila ya shaka huyo anayejiita mwendawazimu ataanza kutishia uhai wake.

Mwambie atueleze na ile pesa ya Mwananchi Gold ilikoyeyukia.
 
Askofu anastukia kivuli chake!!
kama kuna usaliti wowote kafanya, afanye toba mapema.

Saa inakuja ambayo kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake.
Kofia ya uaskofu haitasaidia wakati ukiwadia.
TISS mnaua watanzania wenzenu kwa maslahi ya mtu mmoja. Kwanini msimuue yeye aliyemuweka mtoto wa dada yake HAZINA ili aibe vizuri????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…