Askofu Benson Bagonza asikitishwa na mwenendo wa Rais Magufuli, anena haya...

Askofu Benson Bagonza asikitishwa na mwenendo wa Rais Magufuli, anena haya...

Hapa msimuonee Mh. Mwigulu.

Sawa hatuwezi kumpangia mkubwa cha kufanya.

Ingekuwa ni wizara ya afya tungeelewa haraka ya nini kuteua na kutangaza mbadala ndani ya siku ya mazishi.

Tukio linafikirisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba katoa mzee aliekwisha madini kaweka kijana mwenye akili ila hana nafasi ya kuzitumia kabanwa na system! (kasoma special school) .mtu akifa habari yake imekwisha, kwanza haya mazee ndo yametuletea umaskini yalikazania siasa na diplomasia na sera mbovu yenyewe yakishiba huko UN na kuwaacha wabongo masikini wa kutupwa mara Chuma kikaingia na miundombinu imara na kuleta tumaini jipya!! Ile mila kuwa eti hadi tumbo lipasuke huko mavumbini ndo huku juu muendelee na yenu ni mila feki for me nilizaliwa na kukulia mjini! hakuna pengo ameacha bali amesaidia wengi kupata ajira mavyeo mia mtu mmoja kwa miaka sabini!! what a poor country!!
 
Najua Mlikuwa hamtegemei kama Mwigulu angerudi kuwa Waziri kutokana na kuwavuluga kwelikweli kwenye kiherehere cha kumtaka Rais wetu afanye eti anayoona DJ Mbowe na usharobaro wake.
Mnaopiga kelele hata ukifa leo utakao waacha wataendelea na Majukumu uliyoyaacha. Ndiyo maana unatakiwa kwa muda uliopo na nafasi uliyopo jitahidi kuacha alama nzuri ya kukumbukwa. Siyo hii ya Mbowe ya kujimilikisha Ruzuku 😀😀😀😀😀😀😀
nafikikiri CAG kaonyesha nani katumia vibaya RUZUKU
 
Askofu hajaleta hoja ya maana kutuweka hapa bora angetafakari usahihi wa Nchemba kurudi cabinetini, kwa kuwa msiba huu hauna maana si kwa familia wala Taifa.
Kama ninyi mmeumia basi iwe hivyo.

Kama ni desturi zenu sijui zetu, ni sahihi Mahiga kuzikwa bila soulmate kisa anauguza nairobi ambako anaweza kufika Dodoma kwa masaa 6
Unajua masharti aliyopewa na serikali ya KENYA ukichukulia wao wpo kwenye PARTIAL LOCKDOWN ....... sio rahisi kama unavyofikilia
 
Hapa msimuonee Mh. Mwigulu.

Sawa hatuwezi kumpangia mkubwa cha kufanya.

Ingekuwa ni wizara ya afya tungeelewa haraka ya nini kuteua na kutangaza mbadala ndani ya siku ya mazishi.

Tukio linafikirisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ana mpango wa kuvifungulia kesi ya uhujumu uchumi virusi vya Corona! Who knows, akili yake anaijua mwenyewe. Sijui hata hana washauri? Au ndiyo tatizo la kuwa na washauri ,ndiyo mzee. Shubaamit
 
Mzee baba katoa mzee aliekwisha madini kaweka kijana mwenye akili ila hana nafasi ya kuzitumia kabanwa na system! (kasoma special school) .mtu akifa habari yake imekwisha, kwanza haya mazee ndo yametuletea umaskini yalikazania siasa na diplomasia na sera mbovu yenyewe yakishiba huko UN na kuwaacha wabongo masikini wa kutupwa mara Chuma kikaingia na miundombinu imara na kuleta tumaini jipya!! Ile mila kuwa eti hadi tumbo lipasuke huko mavumbini ndo huku juu muendelee na yenu ni mila feki for me nilizaliwa na kukulia mjini! hakuna pengo ameacha bali amesaidia wengi kupata ajira mavyeo mia mtu mmoja kwa miaka sabini!! what a poor country!!
Mdomo taka ubongo kinyesi
 
Kuna ulazima/uharaka gani wa mtu kwenye hiyo wizara kiasi kwamba angengoja hata wiki baada ya marehemu kuzikwa? Mbona alipoingia madarakani alikaa miezi mitatu bila hao mawaziri? Utetezi mwingine ni wa kijinga sana. Ni kweli Magufuli ni rais wetu, lakini sio mtu sahihi kwa hiyo nafasi ya urais. Halafu eti ndio anatumia madaraka yake kuhakikisha upinzani unafutika nchi hii, wakati hata huko kwenye chama chake hana wa kumchagua zaidi ya kuwarudia aliowafukuza kwa kusema hawana uwezo.
Busara na hekima ni zawadi toka kwa MUNGU.

Naamini barua ya uteuzi imetoka hata kabla ya aliyeenda kumuwakilisha kwenye mazishi hajafika nyumbani.

Na hapo tuseme huenda ni hekima za aliyepaswa kuitoa kuichelewesha kidogo

Wanaomtetea kwa hilo kwa kweli sijui nao wana roho gani. Barua inatoka watu wakiwa bado wanaendelea na taratibu za mazishi na aliyeenda kumuwakilisha akiwa safarini!! Kwa hiyo angeenda yeye barua angeisaini akiwa njiani! Duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdomo taka ubongo kinyesi
dawa imeingia!! si kazi yangu kukufurahisha!!kama una less than two degrees usisome my comments hutonielewa hata Yesu arudi mda huu!

ngoja nikusaidie next time to understand what i write you need to recall some historical facts , admit your bias, consider real life situations, globalization , consider your age group and generation, admit your political affiliation and wishes, compare western life versus poverty striken slums , human rights , freedoms and dignity!!

endelea kuwasifu kwa nyimbo na mapambio wanaokuletea umaskini!! duniani tunaishi mara moja kila binadamu ana haki ya kuishi vyema, si haki watu wako kufa wakiwa na obesity watoto vijijini wakifa kwa utapiamlo!! think about it!!
 
Ile ni ofisi ya umma inahitaji mtu muda wote,Naibu Waziri kuna mambo hawezi kufanya. Hivyo naona ni sahihi JPM alivyofanya,ila kwasababu kuna watu huwa wana mawazo hasi siku zote lazima wataona shida.

macson
Wewe unaamini Naibu waziri ni sub human. Kwa hiyo na sisi unataka tuamini hivyo? Hujui kwamba mtu anaye kaimu madaraka ni mzuri maana ana perform ili apewe full power? After all, huyo naibu waziri amedhalilishwa. kwamba hawezi kuendesha ofisi hata kwa wiki mbili. Shubaamit
 
Huyu askofu naweza kuona hata picha yake.?
Screenshot_20200418-111448.png
 
Unajua masharti aliyopewa na serikali ya KENYA ukichukulia wao wpo kwenye PARTIAL LOCKDOWN ....... sio rahisi kama unavyofikilia
Asirudi tena

Diplomatic ways can help but you denied
 
dawa imeingia!! si kazi yangu kukufurahisha!!kama una less than two degrees usisome my comments hutonielewa hata Yesu arudi mda huu!

ngoja nikusaidie next time to understand what i write you need to recall some historical facts , admit your bias, consider real life situations, globalization , consider your age group and generation, admit your political affiliation and wishes, compare western life versus poverty striken slums , human rights , freedoms and dignity!!
Hujui mbele wala nyuma nimesha kupotezea kizazi cha nyoka
 
Back
Top Bottom