Hapa msimuonee Mh. Mwigulu.
Sawa hatuwezi kumpangia mkubwa cha kufanya.
Ingekuwa ni wizara ya afya tungeelewa haraka ya nini kuteua na kutangaza mbadala ndani ya siku ya mazishi.
Tukio linafikirisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa hatuwezi kumpangia mkubwa cha kufanya.
Ingekuwa ni wizara ya afya tungeelewa haraka ya nini kuteua na kutangaza mbadala ndani ya siku ya mazishi.
Tukio linafikirisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app