Askofu Benson Bagonza asikitishwa na mwenendo wa Rais Magufuli, anena haya...

Askofu Benson Bagonza asikitishwa na mwenendo wa Rais Magufuli, anena haya...

Missile of nation ndugu wenyewe hawajui nn kimeendelea maana show ilisimamiwa na mzee wa tv 40: ndugu nadhani hana?
 
Ni kama vile walisubiri kwa muda mrefe Dr Mahiga afe wachukue nafasi yao. Yaani kama vile alitia kauzibe fulani hivi. Maana hii kasi si ya nchi hii
Hasifii sifii wala hapondi wapinzani. Kwanza jiwe kakasirika iweje aliliwe na wapinzani zaidi kuliko hata maccm.
 
Watu mnakuwa wasahaulifu sana. Kama kuna Mawaziri wachache ambao wengi tuliona kama anaendelea kuwepo kwenye serikali ki shingo upande, nadhani Mahiga ni mmoja wao.

Tulishamuongelea sana, sijui mnashangaa nini ni haya ya sasa.
 
Navyoona marehemu hakuwa na mahusiano salama na boss wake.

Uteuzi umefanywa kupeleka taarifa kwa malofa wengine waliokuwa wapo nyuma ya vigisu.

Lakini pia yaweza kuwa ni siasa tu za kutubadilsha kutoka kwenye ma corona kwa gharama ya mtu mwingine kutendewa hovyo.
Ama Mwigulu anapewa special mission akaifanye mjengoni.

Kabla ya uteuzi jamaa alionekana chato huko.

Sent using iphone pro max
 
Uteuzi huu alikuwa anawakomoa wale wakosoaji WA kujificha kwake mitandaoni. Jana mwigulu kamtetea sana bungeni kuhusu yeye kuwa chato hali nchi inaangamia. Alisema raid hahitajiki kuwa ikulu so lazima aje aongoze mapambano ya covid. Wengi tulioona ile clip tulitegemea hili ila kafanya blander ya kuteua Leo. Angekuwa na subir kidogo. Tusishangae so tuliona bashe alivyoula? Aliwatukana kina kinana kesho take akawa waziri. Ila watanzania tujiulize. Kwema?
Inaumiza
 

Attachments

  • IMG-20200503-WA0002.jpg
    IMG-20200503-WA0002.jpg
    61.7 KB · Views: 1
"Aliyeteuwa hakuomboleza.

Aliyeteuliwa hataomboleza.

Marehemu ameshafika aendako? Na kama amefika basi usajili bado

Tuna wagonjwa wengi, tutateuana kila siku"

Hayo ni maneno ya Baba Askofu Benson Bagonza ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa hajafuraishwa na mwenendo wa Rais kuhusu jambo muhimu.

Naungana na Baba Askofu!

Huyo Baba Askofu, huwa anandika kwenye mtandao upi? Au ndio kulishwa maneno? Source please
 
"Aliyeteuwa hakuomboleza.

Aliyeteuliwa hataomboleza.

Marehemu ameshafika aendako? Na kama amefika basi usajili bado

Tuna wagonjwa wengi, tutateuana kila siku"

Hayo ni maneno ya Baba Askofu Benson Bagonza ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa hajafuraishwa na mwenendo wa Rais kuhusu jambo muhimu.

Naungana na Baba Askofu!
Hana la maana. Aende akawahubirie wafuasi wake. Miye simpendi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kufa kwa changamoto ya upuamuaji ( Covid 19) chonde chonde isije ikatumiwa kama sababu ya vifo vingine visivyo husiana na ugonjwa wowote
Na hivi hakuna cha postmortem unafukiwa tu kama mzoga basi tena tumuachie Mungu

I hope nimeeleweka

NB huu uteuzi wa haraka hivi unatupa assumptions nyingi moja ikiwa huenda Marehemu alikuwa kikwazo kwenye mambo flani ya bwana mkubwa nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi najua mtoa mada ni shabiki, huyo askofu hakusema hivyo wala hakumaanisha hivyo...ni hujma binafsi za mleta mada ndizo tatizo kubwa

Tuambie wewe alivyosema Baba Askofu.
 
Hii kufa kwa changamoto ya upuamuaji ( Covid 19) chonde chonde isije ikatumiwa kama sababu ya vifo vingine visivyo husiana na ugonjwa wowote
Na hivi hakuna cha postmortem unafukiwa tu kama mzoga basi tena tumuachie Mungu

I hope nimeeleweka

NB huu uteuzi wa haraka hivi unatupa assumptions nyingi moja ikiwa huenda Marehemu alikuwa kikwazo kwenye mambo flani ya bwana mkubwa nk

Sent using Jamii Forums mobile app
nmekusoma great thinker

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Aliyeteuwa hakuomboleza.

Aliyeteuliwa hataomboleza.

Marehemu ameshafika aendako? Na kama amefika basi usajili bado

Tuna wagonjwa wengi, tutateuana kila siku"

Hayo ni maneno ya Baba Askofu Benson Bagonza ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa hajafuraishwa na mwenendo wa Rais kuhusu jambo muhimu.

Naungana na Baba Askofu!
binadamu anadhamani akiwa hai
 
Kwa kweli amewashangaza wengi. Ni kama alikuwa anasubiria aondoke ili nafasi awekwe anayetakiwa. Tayari imekuwa gumzo kwenye makundi mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama vile hiyo wizara haikuwa na Naibu Waziri, ambaye angekuwa upgraded kuwa full Minister baada ya majonzi kupungua.
 
Mnaotoka kwenye mazishi mnajulishwa kua tayari tunae Waziri wa Sheria na Katiba.
 
Back
Top Bottom