Avue majoho october apande jukwaani asijifiche na kivuli cha kanisa!
Kaazi kweli kweli.
Forget about source, unakubalina na hilo alilolifanya mzee katika mila za kiafrika. Mke wake akifa leo, kesho ataoa (siombi hilo, hapana natoa mfano tu to drive home my argument na def huyu siyo mke wake)
nafikikiri CAG kaonyesha nani katumia vibaya RUZUKUNajua Mlikuwa hamtegemei kama Mwigulu angerudi kuwa Waziri kutokana na kuwavuluga kwelikweli kwenye kiherehere cha kumtaka Rais wetu afanye eti anayoona DJ Mbowe na usharobaro wake.
Mnaopiga kelele hata ukifa leo utakao waacha wataendelea na Majukumu uliyoyaacha. Ndiyo maana unatakiwa kwa muda uliopo na nafasi uliyopo jitahidi kuacha alama nzuri ya kukumbukwa. Siyo hii ya Mbowe ya kujimilikisha Ruzuku 😀😀😀😀😀😀😀
Unajua masharti aliyopewa na serikali ya KENYA ukichukulia wao wpo kwenye PARTIAL LOCKDOWN ....... sio rahisi kama unavyofikiliaAskofu hajaleta hoja ya maana kutuweka hapa bora angetafakari usahihi wa Nchemba kurudi cabinetini, kwa kuwa msiba huu hauna maana si kwa familia wala Taifa.
Kama ninyi mmeumia basi iwe hivyo.
Kama ni desturi zenu sijui zetu, ni sahihi Mahiga kuzikwa bila soulmate kisa anauguza nairobi ambako anaweza kufika Dodoma kwa masaa 6
Labda ana mpango wa kuvifungulia kesi ya uhujumu uchumi virusi vya Corona! Who knows, akili yake anaijua mwenyewe. Sijui hata hana washauri? Au ndiyo tatizo la kuwa na washauri ,ndiyo mzee. ShubaamitHapa msimuonee Mh. Mwigulu.
Sawa hatuwezi kumpangia mkubwa cha kufanya.
Ingekuwa ni wizara ya afya tungeelewa haraka ya nini kuteua na kutangaza mbadala ndani ya siku ya mazishi.
Tukio linafikirisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
ameushangaza ulimwengu
Mdomo taka ubongo kinyesiMzee baba katoa mzee aliekwisha madini kaweka kijana mwenye akili ila hana nafasi ya kuzitumia kabanwa na system! (kasoma special school) .mtu akifa habari yake imekwisha, kwanza haya mazee ndo yametuletea umaskini yalikazania siasa na diplomasia na sera mbovu yenyewe yakishiba huko UN na kuwaacha wabongo masikini wa kutupwa mara Chuma kikaingia na miundombinu imara na kuleta tumaini jipya!! Ile mila kuwa eti hadi tumbo lipasuke huko mavumbini ndo huku juu muendelee na yenu ni mila feki for me nilizaliwa na kukulia mjini! hakuna pengo ameacha bali amesaidia wengi kupata ajira mavyeo mia mtu mmoja kwa miaka sabini!! what a poor country!!
Busara na hekima ni zawadi toka kwa MUNGU.Kuna ulazima/uharaka gani wa mtu kwenye hiyo wizara kiasi kwamba angengoja hata wiki baada ya marehemu kuzikwa? Mbona alipoingia madarakani alikaa miezi mitatu bila hao mawaziri? Utetezi mwingine ni wa kijinga sana. Ni kweli Magufuli ni rais wetu, lakini sio mtu sahihi kwa hiyo nafasi ya urais. Halafu eti ndio anatumia madaraka yake kuhakikisha upinzani unafutika nchi hii, wakati hata huko kwenye chama chake hana wa kumchagua zaidi ya kuwarudia aliowafukuza kwa kusema hawana uwezo.
dawa imeingia!! si kazi yangu kukufurahisha!!kama una less than two degrees usisome my comments hutonielewa hata Yesu arudi mda huu!Mdomo taka ubongo kinyesi
Wewe unaamini Naibu waziri ni sub human. Kwa hiyo na sisi unataka tuamini hivyo? Hujui kwamba mtu anaye kaimu madaraka ni mzuri maana ana perform ili apewe full power? After all, huyo naibu waziri amedhalilishwa. kwamba hawezi kuendesha ofisi hata kwa wiki mbili. ShubaamitIle ni ofisi ya umma inahitaji mtu muda wote,Naibu Waziri kuna mambo hawezi kufanya. Hivyo naona ni sahihi JPM alivyofanya,ila kwasababu kuna watu huwa wana mawazo hasi siku zote lazima wataona shida.
macson
Huyu askofu naweza kuona hata picha yake.?
Asante mkuu. Nimekuwa nasikia nasaha zake, nafurahi kumfahamu hata kwa sura.
Asirudi tenaUnajua masharti aliyopewa na serikali ya KENYA ukichukulia wao wpo kwenye PARTIAL LOCKDOWN ....... sio rahisi kama unavyofikilia
Hujui mbele wala nyuma nimesha kupotezea kizazi cha nyokadawa imeingia!! si kazi yangu kukufurahisha!!kama una less than two degrees usisome my comments hutonielewa hata Yesu arudi mda huu!
ngoja nikusaidie next time to understand what i write you need to recall some historical facts , admit your bias, consider real life situations, globalization , consider your age group and generation, admit your political affiliation and wishes, compare western life versus poverty striken slums , human rights , freedoms and dignity!!
sifagilii ujinga!! mi si mnafki kusifia waliotuletea umaskini watoto mia sitini darasa moja lisilo na madawati!!Hujui mbele wala nyuma nimesha kupotezea kizazi cha nyoka
Sio kiburi wala ukosefu wa busara bali ni tabia za kichawi
Kila nafsi itaonja umauti,nisiku zake zimetimia za hapa Duniani kwahiyo nafasi ingeachwa wazi?Kwa kweli amewashangaza wengi. Ni kama alikuwa anasubiria aondoke ili nafasi awekwe anayetakiwa. Tayari imekuwa gumzo kwenye makundi mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app