Askofu Dkt. Bagonza amshukia Lugola kwa kumfananisha Magufuli na Yesu. Asema hii laana lazima itafune mtu na Taifa

Mpumbavu mmoja anaandika "CCM",lakini anaandika "mungu" na "yesu". Upumbavu ni kipaji kumbe.
 
Mpumbavu mmoja anaandika "CCM",na pia anaandika "mungu". Kweli wapumbavu mmejazana huko.
 
Lazima amuite Yesu sababu amemuokoa kukaa gerezani kwa wizi mkubwa aliufanya mpaka sasa yupo uraiani na wakati kuna watu wapo mahabusu kwa milioni 17 za uonevu
 
Ila wakristo kidogo tunakuwaga na huruma sana, angetolea huo mfano wake kwa kumlinganisha na yule wa upande mwingine, asingeamini huo moto wake.. Angeshatoka kwenye vyombo vya habari kuomba radhi..!
 
Ujinga mwingine ni tatizo. Haiingii akilini kusikia MTU anatolea mfano ghafla Askofu unageuza huo mfano kuwa laana ya taifa.
Shule ya maisha ni bora kuliko shule hii Bagonza.
 
Ila wakristo kidogo tunakuwaga na huruma sana, angetolea huo mfano wake kwa kumlinganisha na yule wa upande mwingine, asingeamini huo moto wake.. Angeshatoka kwenye vyombo vya habari kuomba radhi..!
Aah wapi sio tz
 
Alafu ww Kangi Lugola acha kumshambulia baba Askofu
 
Lazima amuite Yesu sababu amemuokoa kukaa gerezani kwa wizi mkubwa aliufanya mpaka sasa yupo uraiani na wakati kuna watu wapo mahabusu kwa milioni 17 za uonevu
Hizo nyingi mbona,elf 20 tu kakosa kazi plus fine milioni moja na nusu plus za kuhonga ili kesi iishe haraka.Aliona heri kununua Uhuru wake ili aisozee jela,kwa kupima kipi muhimu Kati ya familia au kukaa ndani miaka ili kusubiria hizi kesi za uonevu hazina dhamana hata Kama sh 500 ukituhumiwa nazo ujui mwaka gani utatoka.
Wengi wako ndani wa 5 Sasa wanasubiria ushahidi toka mbinguni labda
 
Hatuwezi kunyamazia upuuzi wa wabunge kumfananisha mtu na Mungu kamwe hatuwez, hii ni kufuru ngoja tumwombe Mungu atajibu tu

Huyu Ndugai na CCM pamoja na Wabunge wao wamelewa MADARAKA kiasi cha kumfananisha Magufuli na Bwana Yesu Kristo, Mungu Mkuu muumba wa Mbingu na nji. Hakika Mungu atalipa kisasi kwa kufuru hii!
 
Askofu Bagonza ni kweli kabisa umefika wakati kwake kuvua majoho ya uaskofu na kupanda jukwaani.

Acheni propaganda za kijinga enyi nzi wa KIJANI. Mbona wakti wa Corona mliwaagiza Maaskofu kupitia Magufuli ili waombe kwa ajili ya Tanzania? Leo Askofu kumkemea Lugola kwa DHAMBI ya KUKUFURU mnamgeuza kuwa MWANASIASA....!!! Non-sense!
 
Shida ya Mzee wangu Bagonza amejaa chuki, Chuki Imemjaa hata kwenye vitu vidogovidogo tu.
Tatizo lako wewe ni Mapenzi kwa Lugola mpaka unawachukia wengine kisa tu kumkosoa Lugola wako!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…