Askofu Dkt. Bagonza amshukia Lugola kwa kumfananisha Magufuli na Yesu. Asema hii laana lazima itafune mtu na Taifa

KOMA kumfananisha YESU na midude mingine
Na ukitaka kupata impact ya huo ulinganisho ambao wengine wanautolea utetezi hebu hili la Yesu tuliweke pembeni halafu badala yake tumweke Mtume Mohamad afananishwe na Magufuli tuone waislamu watakavyo react.Haya mataga akili hayana Lugola Jibaba zima hovyo kabisa.
 

Ile tafsiri ya neno kama niliyo iweka katika hoja yako ina eleweka vizuri ,na mwanzo uliunga mkono hoja ya Lugola.
 
Mkuu..ile tuhuma ya kudeti na binti ya kaka yako iliisha vipi, ama mlimaliza ilo SAGA kifamilia zaidi?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile tafsiri ya neno kama niliyo iweka katika hoja yako ina eleweka vizuri ,na mwanzo uliunga mkono hoja ya Lugola.
Mkuu wacha nilale, tutaonana asubuhi nikiamka, asante kwa uelewako tofauti na wengine wenye matusi kwenye hoja zao.
 
Mkuu wacha nilale, tutaonana asubuhi nikiamka, asante kwa uelewako tofauti na wengine wenye matusi kwenye hoja zao.

Wewe Lala tu Mkuu wangu ila wakati mwingine jifunze kujibu kwa Hoja ili kuonesha mapungufu katika Hoja ya mwingine.Sija mtukana Mtu zaidi ya kutaja Sifa za Watu kutokana na kauli zao.
 
Mkuu ebu jibu ulichoulizwa na mkuu kikulachako.

Nimesha mjibu ,huu sio mjadala wa Dini ila ni mjadala wa Siasa kuchanganywa na Dini ili kuwalaghai Watu wengine wasio fikiri zaidi ya wanavyo fikiri.
 
Asante sana Baba Askofu kwa Maonyo yako Mungu hadhihakiwi
 
Kiteolojia kauli ya askofu inajipinga
 
“Ye men of Galilee, why stand ye gazing up into heaven? this same Jesus, which is taken up from you into heaven, shall so come in like manner as ye have seen him go” (Acts 1:11).
Hatimaye ujio wa pili umetimia, 'yesu' ametua bongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…