Askofu Dkt. Bagonza amshukia Lugola kwa kumfananisha Magufuli na Yesu. Asema hii laana lazima itafune mtu na Taifa

Lugola hana kosa lolote.

Yesu alikua binadamu kuna ubaya gani kumlinganisha na Magufuli?

Yesu alifanya makubwa kama binadamu na ndio hayo Magufuli anafanya. Kuna ubaya gani?
 
Kwahiyo magufuli kujiita mungu- mtu ni halali?
Una laana wewe sio bure

Mungu doesnt obvious have to be a christian God! , it means something of a high place, eg: some religious may refer a cow as a God also
 
Tatizo sio wakuu wa makanisa; bali ni huyo aliyefananishwa na mola kukaa kimya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lugola hana kosa lolote.

Yesu alikua binadamu kuna ubaya gani kumlinganisha na Magufuli?

Yesu alifanya makubwa kama binadamu na ndio hayo Magufuli anafanya. Kuna ubaya gani?

Absurd and Non-sense!
 
Lugola hana kosa lolote.

Yesu alikua binadamu kuna ubaya gani kumlinganisha na Magufuli?

Yesu alifanya makubwa kama binadamu na ndio hayo Magufuli anafanya. Kuna ubaya gani?
Mbona wabunge/wawakilishi wa Zanzibar walimcharukia mbunge mwenzao (Mwezi uliopita) kwa kile kinachodaiwa kumkashifu ...Mt... ambaye alikuwa binadamu kwa 100%? Sembuse Yesu ambaye ni Mungu? Acha kudhihaki imani za watu kama Lugola alivyofanya.
 
Mbona wabunge/wawakilishi wa Zanzibar walimcharukia mbunge mwenzao (Mwezi uliopita) kwa kile kinachodaiwa kumkashifu ...Mt... ambaye alikuwa binadamu kwa 100%? Sembuse Yesu ambaye ni Mungu? Acha kudhihaki imani za watu kama Lugola alivyofanya.
Yesu Ni binadamu kwa 100% sio mungu,MUNGU hawezi kufa.wala kuteswa
 
Mfungwa wa kisaisa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…