Askofu Dkt. Bagonza: Kumnyamazisha anayekemea wizi wa kura ni kujitangaza kuwa mwizi

.....Wagombea jifunze "kufungia mbwa wenu" maana hawana faini ya kulipa.
....
Kana matusi ya rejareja!

Huyu askofu ni mshabiki wa Lisu na ameshindwa kujificha kama alivyo Gwajima,

Kati ya watu wataumia sana kwenye huu uchaguzi ni huyu Bagonza
 
Nahis hii kitu Tundu lissu ndio ameiandika akampa baba askofu aipost maana imepiga pale kati hata polepole na dr bashiru wametajwa umo na jiwe naue katajwa umo .NEC na CCM wametajwa umo yaan andiko fupi ila limebeba picha zima

Kipande kilichonikosha ni icho kuna watu hawajui siasa ila wanaitwa wanasiasa sababu wapo kwenye nafasi za kisiasa nadhan hii chakubanga lazima ameze mate
 
Daah inatakiwa utulie vzr ndo usome uelewe. Daah duniani kuna vichwa, huyu askofu PhD yake waliompa walimtendea haki, si kwa falsafa hizi jaman
 
"Kuna watu wanajiita wanasiasa kwa sababu wako kwenye nafasi ya siasa lakin si wanasiasa" BASHIRI ni nani huyo?
 
Hapo ma ccm yatakuambia "Askofu acha kuchanganya dini na siasa" wakati Sheikh mkuu wa Dar es salaam yeye huwa anapiga kampeni waziwazi kuinadi ccm!
Huyo shehe anaogopa MINUSO YA IKULU hakuna shereh asiyoalikwa sas hapo unategemea nin alaf ni mtu wa totoz. Anapiga self anaenda kuzingulia vichuchu
 
Maaskofu wangu Katoliki pamoja na akili kubwa lakini katika awamu hii ameniangusha!!
Unataka wamkemee muumini wao wakati huwa anawapelekea sadaka kwenye kikapu. Huyo ni mwenzao ndio maana wako kimya. Unakumbuka enzi za kikwete walivyokuwa wakali?
 
Asante Baba Askofu ujumbe wako umefika.

Huyu ni miongoni mwa ma Askofu wachache waliobakia wasio kuwa na chembe chembe za unafiki.
 
Hawa ndo maskofu siyo wale wanaojfanya wameandika vitabu kwa kijapan Leo hii wanacheza singeli
 
Msema kweli ni mpenzi wa MUNGU. Askofu Bagoza wewe ni mpenzi wa MUNGU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…