Askofu Dkt. Fredrick Shoo: Tusiwagawe watu kwa misingi ya dini

Askofu Dkt. Fredrick Shoo: Tusiwagawe watu kwa misingi ya dini

Kwahuo
Naamini anawaambia wanasiasa ambao Nina HAKIKA hawajaenda hapo kusali, Wana agenda zao.

Mkataba na DP world ni fake batili ufutwe haraka.
Kwa hio kumbe kanisa huwa sio sehemu ya ibada peke yake bali ni kumbi za mikutano ya siasa sio?
Ndio maana yule mtuhumiwa Dr SLAA alisema walikuwa wananunua silaha na kuzipeleka makanisani.

Sasa siku wakiamua kuzitoa hizo silaha waambie kabisa waje wamevaa kaptula manake zile gauni lzm zichanike.
 
Wafike tu ila waje na mabinti wengi tuchanganye damu,CCM hoyee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe kuna ushindani wa ukristo na uislam?

Mkuu chuki za kidini ni mbaya mno sizani kama jamii iliyokuzunguka wote ni wakristo.

Miaka yote atuna chuki za kidini hio roho ya kuchukia wenzio umeitoa wapi
Mkuu, hebu nisikilize vizuri, binafsi sina dini na siipendi, humu jukwaani nimeliweka wazi kabisa,

Tanzania kuna udini mkubwa sana, tena wa kutisha kuliko hata ukabila. Uzuri ni kwamba wazee wa TANU na CCM chini ya Raisi Nyerere walijitahidi kutengenisha dini na uongozi. Huu ndiyo ulikuwa utaratibu wetu, kwamba mbali na watu kuwa na dini zetu, hicho siyo kigezo cha kuwa kiongozi.

Watu waliliamini hili sana, japo mara chache kumekuwepo na matukio madogo madogo (Sporadic Events) za vurugu za kidini. Ila wakati wote serikali ilisimama imara kwasababu ya imani kwamba nchi ni yetu sote. Kuna wakati Mzee Nyerere aliitisha uchunguzi kwenye baraza la mawaziri baada ya malalamiko kwamba wamejaa wakatoliki, na mwishowe ikaoneka yalikuwa ni majungu.

Tatizo linakuja pale ambapo tumepata kiongozi ambaye hajachanga karata zake vizuri. Hili sakata lilipoanza, watu walianza kusema Uzanzibar na Uarabu. Ila watetezi wa mama wakaja na hoja kubwa kwamba, mama anachukiwa kwasababu ni Muislamu. Shida ilianzia hapa. Aheri wasingelisema kabisa hili, maana ukweli ni kwamba watangulizi wake kama Jakaya na Magufuli walishambuliwa mno, ila hoja za udini hazikuwa kama ilivyo sasa.

Yote haya chanzo ni rushwa na mkataba mbovu wa DP World. Wanakwepa ukweli kwamba hili ndiyo tatizo, na wanaenda kwenye hoja za dini. Unadhani hii michezo ya kuzunguka makanisani ndiyo itaenda kutatua matatizo. AU unadhani sisi hatufahamu nini kinachozungumzwa huko kwenye vikao vya ndani vya maaskofu na mashekhe, ???

Raisi aliyaona haya mapema kabisa, kwanini hakutoka hadharani kuwakemea wafuasi wake wanaotumia dini kumtetea. Mzee Nyerere alishawahi kuwaandikia barua kali mno maaskofu baada ya Mzee Rugambwa na wenzake kutaka kuingilia baadhi ya mambo. Hata Kikwete alipoona Masheikh wa dini yake wanatumia dini kwenye siasa aliwaweka ndani. Raisi Samia zaidi ya kusema Tanzania ni moja tu, akiongelea Uzanzibar na Utanganyika, wapi alikemea hizi propaganda za kidini zinazopigwa mtandaoni na waumini wenzake, ???

Kiukweli, mdharau mwiba mguu huota tende. Sasa huo mkataba unaendelea kuligawa taifa, anaukumbatia wa nini, ??? Kama ni uwekezaji bandarini kwanini asitangaze tenda kwa makampuni mengine ya kimataifa, ???

 
Technically Askofu Shoo kampiga spana Kikwete , ila kwa speech ya Leo ya Mama ,

Kwa nilizopenyezewa CCT na KKKT watatoa waraka wa kupinga DP WORLD

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, hebu nisikilize vizuri, binafsi sina dini na siipendi, humu jukwaani nimeliweka wazi kabisa,

Tanzania kuna udini mkubwa sana, tena wa kutisha kuliko hata ukabila. Uzuri ni kwamba wazee wa TANU na CCM chini ya Raisi Nyerere walijitahidi kutengenisha dini na uongozi. Huu ndiyo ulikuwa utaratibu wetu, kwamba mbali na watu kuwa na dini zetu, hicho siyo kigezo cha kuwa kiongozi.

Watu waliliamini hili sana, japo mara chache kumekuwepo na matukio madogo madogo (Sporadic Events) za vurugu za kidini. Ila wakati wote serikali ilisimama imara kwasababu ya imani kwamba nchi ni yetu sote. Kuna wakati Mzee Nyerere aliitisha uchunguzi kwenye baraza la mawaziri baada ya malalamiko kwamba wamejaa wakatoliki, na mwishowe ikaoneka yalikuwa ni majungu.

Tatizo linakuja pale ambapo tumepata kiongozi ambaye hajachanga karata zake vizuri. Hili sakata lilipoanza, watu walianza kusema Uzanzibar na Uarabu. Ila watetezi wa mama wakaja na hoja kubwa kwamba, mama anachukiwa kwasababu ni Muislamu. Shida ilianzia hapa. Aheri wasingelisema kabisa hili, maana ukweli ni kwamba watangulizi wake kama Jakaya na Magufuli walishambuliwa mno, ila hoja za udini hazikuwa kama ilivyo sasa.

Yote haya chanzo ni rushwa na mkataba mbovu wa DP World. Wanakwepa ukweli kwamba hili ndiyo tatizo, na wanaenda kwenye hoja za dini. Unadhani hii michezo ya kuzunguka makanisani ndiyo itaenda kutatua matatizo. AU unadhani sisi hatufahamu nini kinachozungumzwa huko kwenye vikao vya ndani vya maaskofu na mashekhe, ???

Raisi aliyaona haya mapema kabisa, kwanini hakutoka hadharani kuwakemea wafuasi wake wanaotumia dini kumtetea. Mzee Nyerere alishawahi kuwaandikia barua kali mno maaskofu baada ya Mzee Rugambwa na wenzake kutaka kuingilia baadhi ya mambo. Hata Kikwete alipoona Masheikh wa dini yake wanatumia dini kwenye siasa aliwaweka ndani. Raisi Samia zaidi ya kusema Tanzania ni moja tu, akiongelea Uzanzibar na Utanganyika, wapi alikemea hizi propaganda za kidini zinazopigwa mtandaoni na waumini wenzake, ???

Kiukweli, mdharau mwiba mguu huota tende. Sasa huo mkataba unaendelea kuligawa taifa, anaukumbatia wa nini, ??? Kama ni uwekezaji bandarini kwanini asitangaze tenda kwa makampuni mengine ya kimataifa, ???

Hawezi kutangaza tenda kutokana na mafungamano ya Siri na Dubai

Ila hili jambo halitaisha vizuri kwake na kwa Tanzania, na Leo ametegwa akategeka na hii inaonekana hayuko tayari kumsikiliza mtu au wananchi,

Kitakachofuata watu wataenda next step plan yao Hadi namuonea huruma

Hili zigo la DP WORLD linajulikana ni la nani? na Jana amejionesha

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Usimsemee Baba Askofu msome tena vizuri hutaki kuamini kama kawatosa wenzake[emoji23]
TEC wakati wanatoa waraka wao hawakutegemea uungwaji mkono wa KKKT na hakuna kitakachobadili msimamo wa TEC na Kanisa Katoliki kwa ujumla.
 
Askofu yupo neutral na kashauri vzr.
Tujikite kwenye maudhui ya mkataba na DPW je, una tija?
Tamko la TEC liko wazi na halipo kidini isipokuwa linatetea rasilimali za nchi.
 
Pili, hakuna kitu ambacho kinawaunganisha wakristo kama chuki yao dhidi ya uislamu. Nothing unites Christians in the world, like their common disgust and hatred towards Islam. Hivyo unaweza leo ukadhani unawagawanya, lakini ndani ya roho zao ukweli ni kwamba wakristo wa madhehebu yote wanawachukia waislamu, kama ambavyo waislamu wa madhehebu yote wanavyowachukia Wakristo. Ukishafahamu hili utaenda kwenye hoja hii ya mwisho.
We mtu hii research yako umeifanyia wapi??

Umeishi Mbeya?? Huku watu wengi hawaujui huo uislam unafananaje! Hawajui kama kuna dini nyingine zaidi ya ukriato. Na ndio maana kwenye mahuburi yao mengi hawautaji uislam.
Unawajua Wasabato? Hawa wao viya yao kubwa ni dhidi ya wakatoliki.

Umeishi hii mikoa ya pwani kama Dsm, Tanga, Zanzibar?? Huku waislam ni wengi sana. Hapa watoto huanza madrasa wakiwa wadogo kabisa na wengi wao huo ukristo hawaujui kabisa zaidi.

Ndio maana tunachangamana tu bila kujali huyu dini gani na yule dini gani kwasababu hatuna chuki kati yetu.
 
Kwahiyo katika Hoja ya Bandari ,sasa kuna haya makundi ?
1.walutherii + islam + wataka dpw ,
2.Wakatoliki + wengine wote watakao maboresho ya mkataba

Mmmh naona kuna mgawanyo hapa
 
Hii ratiba ya haya matukio nimeipenda.

1.Jumapili TEC wametoa waraka juu ya Bandari .
2.Jumapili hiyo hiyo ,JK anatoa usio tusichanganye Dini na Siasa akiwa katika sherehe za SDA
3. Jumatatu K.K.K.T wanatoa msimamo wao mbele ya Rais
 
Yeye amewahi kukemea?

Kuna mgombea urais aliwahi kutamka madhabahuni kanisa mojawapo la KKKT kwamba "Ni zamu ya walutheri wamuunge mkono awe mlutheri wa kwanza kuwa Rais".


NB:Naona JF nao huchomoa baadhi ya content humu sijui kwa maslahi gani.
 
Mkuu, hebu nisikilize vizuri, binafsi sina dini na siipendi, humu jukwaani nimeliweka wazi kabisa,

Tanzania kuna udini mkubwa sana, tena wa kutisha kuliko hata ukabila. Uzuri ni kwamba wazee wa TANU na CCM chini ya Raisi Nyerere walijitahidi kutengenisha dini na uongozi. Huu ndiyo ulikuwa utaratibu wetu, kwamba mbali na watu kuwa na dini zetu, hicho siyo kigezo cha kuwa kiongozi.

Watu waliliamini hili sana, japo mara chache kumekuwepo na matukio madogo madogo (Sporadic Events) za vurugu za kidini. Ila wakati wote serikali ilisimama imara kwasababu ya imani kwamba nchi ni yetu sote. Kuna wakati Mzee Nyerere aliitisha uchunguzi kwenye baraza la mawaziri baada ya malalamiko kwamba wamejaa wakatoliki, na mwishowe ikaoneka yalikuwa ni majungu.

Tatizo linakuja pale ambapo tumepata kiongozi ambaye hajachanga karata zake vizuri. Hili sakata lilipoanza, watu walianza kusema Uzanzibar na Uarabu. Ila watetezi wa mama wakaja na hoja kubwa kwamba, mama anachukiwa kwasababu ni Muislamu. Shida ilianzia hapa. Aheri wasingelisema kabisa hili, maana ukweli ni kwamba watangulizi wake kama Jakaya na Magufuli walishambuliwa mno, ila hoja za udini hazikuwa kama ilivyo sasa.

Yote haya chanzo ni rushwa na mkataba mbovu wa DP World. Wanakwepa ukweli kwamba hili ndiyo tatizo, na wanaenda kwenye hoja za dini. Unadhani hii michezo ya kuzunguka makanisani ndiyo itaenda kutatua matatizo. AU unadhani sisi hatufahamu nini kinachozungumzwa huko kwenye vikao vya ndani vya maaskofu na mashekhe, ???

Raisi aliyaona haya mapema kabisa, kwanini hakutoka hadharani kuwakemea wafuasi wake wanaotumia dini kumtetea. Mzee Nyerere alishawahi kuwaandikia barua kali mno maaskofu baada ya Mzee Rugambwa na wenzake kutaka kuingilia baadhi ya mambo. Hata Kikwete alipoona Masheikh wa dini yake wanatumia dini kwenye siasa aliwaweka ndani. Raisi Samia zaidi ya kusema Tanzania ni moja tu, akiongelea Uzanzibar na Utanganyika, wapi alikemea hizi propaganda za kidini zinazopigwa mtandaoni na waumini wenzake, ???

Kiukweli, mdharau mwiba mguu huota tende. Sasa huo mkataba unaendelea kuligawa taifa, anaukumbatia wa nini, ??? Kama ni uwekezaji bandarini kwanini asitangaze tenda kwa makampuni mengine ya kimataifa, ???

Shoo yeye anmeangalia tu maslahi yake na kusifia mkataba
 
Mbona kauli ya Askofu Shoo ipo clear kabisa, Ritz unalazimisha iwe ya kuwapendeza na mamako lakini unafeli.

Askofu Shoo anakemea wale wanaotugawa kwa misingi ya kidini, ungekuwa na akili timamu ungejiuliza ni wakina nani hao?

Jibu, wanaotugawa kwa misingi ya kidini ni wale wajinga wanaosema tusichanganye dini na siasa, ili kuyakwepa maswali wanayoulizwa waliyoshindwa kuyajibu kuhusu ule mkataba wa hovyo wa bandari.

Na wale wengine wanaotugawa kwa misingi ya kidini, ni wale mashekhe wanaotumiwa na serikali kuupinga waraka wa TEC kwa maneno matupu, ikiwa hawawezi kujibu hata hoja moja iliyoandikwa ndani ya ule waraka.

Mpaka hapo sioni sababu ya kubishana hapa, wewe mswahili wacha kuokoteza maneno uyaweke kwa namna uipendayo ili yakufurahishe, Askofu Shoo yupo very clear.

Au kama unaamini Askofu Shoo kwa kauli yake hiyo amelisema Kanisa Katoliki kutokana na ule waraka, hebu tuambie hapa, ni wapi kwenye ule waraka wa TEC wa Kanisa Katoliki pametugawa kwa misingi ya kidini?

Njoo hapa na jibu sahihi kama unajiona una huo uwezo.....!!
 
Back
Top Bottom