Askofu Dkt. Fredrick Shoo: Tusiwagawe watu kwa misingi ya dini

Askofu Dkt. Fredrick Shoo: Tusiwagawe watu kwa misingi ya dini

Askofu yupo neutral na kashauri vzr.
Tujikite kwenye maudhui ya mkataba na DPW je, una tija?
Tamko la TEC liko wazi na halipo kidini isipokuwa linatetea rasilimali za nchi.
CCM wameshaazoea kutuibia halafu watu wakakaa kimya ,watu wakihoji ndo wanaitwa wa dini ,halafu wengine waendelee kulamba asali na wengine waendelee kulamba shubiro
 
Hawezi kutangaza tenda kutokana na mafungamano ya Siri na Dubai

Ila hili jambo halitaisha vizuri kwake na kwa Tanzania, na Leo ametegwa akategeka na hii inaonekana hayuko tayari kumsikiliza mtu au wananchi,

Kitakachofuata watu wataenda next step plan yao Hadi namuonea huruma

Hili zigo la DP WORLD linajulikana ni la nani? na Jana amejionesha

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Ni suala la muda tu mzee...
 
Serikali iwapo amejenga hoja yake katika msingi wa kutugawa kidini au kwasababu nyingine yoyote huyo akemewe, tumkatae hana nia njema"
"....Inapotokea viongozi wa dini wakashauri, na wakakemea, wasiambiwe wanachanganya dini na Siasa....."

Haya maelezo ya Askofu Shoo hayakukidhi haja ya kusudio lako ndiyo maana hukuangaika nayo. Nawaza!
 
"....Inapotokea viongozi wa dini wakashauri, na wakakemea, wasiambiwe wanachanganya dini na Siasa....."

Haya maelezo ya Askofu Shoo hayakukidhi haja ya kusudio lako ndiyo maana hukuangaika nayo. Nawaza!
Huyo mswahili ana matatizo, anaonekana wazi leo ndio alikuwa anategemea yeye na mamake watapata angalau pointi ya kujitetea lakini wapi, hali yao bado mbaya sana hawa viumbe.
 
We mtu hii research yako umeifanyia wapi??

Umeishi Mbeya?? Huku watu wengi hawaujui huo uislam unafananaje! Hawajui kama kuna dini nyingine zaidi ya ukriato. Na ndio maana kwenye mahuburi yao mengi hawautaji uislam.
Unawajua Wasabato? Hawa wao viya yao kubwa ni dhidi ya wakatoliki.

Umeishi hii mikoa ya pwani kama Dsm, Tanga, Zanzibar?? Huku waislam ni wengi sana. Hapa watoto huanza madrasa wakiwa wadogo kabisa na wengi wao huo ukristo hawaujui kabisa zaidi.

Ndio maana tunachangamana tu bila kujali huyu dini gani na yule dini gani kwasababu hatuna chuki kati yetu.
Usione vyaelea, ujue vimeundwa.

Hii Tanzania ya amani na utulivu ambayo wewe unaiishi imetengenezwa na watu waliojitoa (Waislamu na Wakristo) hadi leo hii unahisi udini na ukabila haupo. Matatizo na kelele za kidini, hapa Tanzania zimekuwepo sana, sema busara imetumika kulifikisha taifa hapa lilipo leo. Hii nchi bila kuwepo na BALANCE OF POWER baina ya Muslims & Christians kwenye mgawanyo wa madaraka, hatutakuwa na utofauti na nchi kama Central African Republic.


 
....imezuiliwa..
Hivi hili linawezekanaje...!? Unanyang'anywa kabisa! Unaambiwa shuka ....katafute usafiri mwingine! Na ni Mkuu wa Kaya! Si aagize "waambata" wakaichukue "kimedani" aisee!!

Huu ni unyanyapaaji wa kutisha, kama ni kweli.
 
Iko Dubai imezuiliwa..

Samia kichwa kinamuuma yani ni sawa msichana kala hela ya mwanaume halafu kabananishwa sehemu anaambiwa atoe mzigo, halafu hataki na hela kala....!
Acha kusambaza habari za uzushi kenge maji mkubwa wewe.
Screenshot_20230821_162256_Instagram.jpg


Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Vipi mbona ajakemea na wanaoingia mikataba mibovu kwa maslai Yao badala ya nchi anasemaje hili
 
IBARA ya 4(2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema, iwapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari, inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa Mali zake? Huu ujinga ubaki CCM na Dubai.
Hivi ndio vipengele vinavyotakiwa kubadilishwa
 
Viongozi wa kisiasa wakitumia majukwaa ya makanisa au misikiti kwa manufaa ya kisiasa "Hapa dini haijachanganywa na siasa" ila Viongozi wa kidini wakiongelea siasa tena kwa mambo muhimu kabisa yanayogusa maslahi mapama na mustakabali wa vizazi vijazo ambapo dini lzm iseme ukweli " Hapa sasa ndio dini imechanganywa na siasa". Mwenye akili haambiwi tazama
 
Kitendo cha TEC kusambaza waraka kwa waamini wake ni Sawa na kuligawa taifa, maana kesho Bakwata pia watatoa waraka wa kutetea, Sasa tunalopeleka taifa wapi?!
TEC acheni chuki hili taifa ni la watanzania wote.
Nijuavyo mimi BAKWATA sio watu wa Washati km hawa wanaijipa utume na unabii kila siku lkn natamani sana bakwata na wao watoe waraka halafu tuone sasa.
Fimbo zikianza kutembea mitaa sisi tunafahamu kina nani wa kwanza kukunja magauni na kukimbia.
Waache waendeleze unafiki wao. Kikiwaka watajuta.
 
Wazee wa kobazi bwana. Elimu yenu ya madrasa haiwasaidii kufikiri na kutafakari. Huoni askofu Shoo katupa kijembe kwa mashekhe ubwabwa wanaotaka kugawa watanzania?
Nyie kondoo endeleeni kupiga vigeregere lkn siku likiwaka mtashangaa.
Si tunawaona paroko wengine huko nje.
Hata kuku Ana afadhali kwa uoga.
 
Back
Top Bottom