CCM wameshaazoea kutuibia halafu watu wakakaa kimya ,watu wakihoji ndo wanaitwa wa dini ,halafu wengine waendelee kulamba asali na wengine waendelee kulamba shubiroAskofu yupo neutral na kashauri vzr.
Tujikite kwenye maudhui ya mkataba na DPW je, una tija?
Tamko la TEC liko wazi na halipo kidini isipokuwa linatetea rasilimali za nchi.
Ndivyo alivyokuambia au umekuwa msemaji wake ??Shoo yeye anmeangalia tu maslahi yake na kusifia mkataba
Hawezi kutangaza tenda kutokana na mafungamano ya Siri na Dubai
Ila hili jambo halitaisha vizuri kwake na kwa Tanzania, na Leo ametegwa akategeka na hii inaonekana hayuko tayari kumsikiliza mtu au wananchi,
Kitakachofuata watu wataenda next step plan yao Hadi namuonea huruma
Hili zigo la DP WORLD linajulikana ni la nani? na Jana amejionesha
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
"....Inapotokea viongozi wa dini wakashauri, na wakakemea, wasiambiwe wanachanganya dini na Siasa....."Serikali iwapo amejenga hoja yake katika msingi wa kutugawa kidini au kwasababu nyingine yoyote huyo akemewe, tumkatae hana nia njema"
5H-ONE haionekani kwenye flight radar![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] DP WORLD WANAKARIBIA KUFKA TANZANIA
Huyo mswahili ana matatizo, anaonekana wazi leo ndio alikuwa anategemea yeye na mamake watapata angalau pointi ya kujitetea lakini wapi, hali yao bado mbaya sana hawa viumbe."....Inapotokea viongozi wa dini wakashauri, na wakakemea, wasiambiwe wanachanganya dini na Siasa....."
Haya maelezo ya Askofu Shoo hayakukidhi haja ya kusudio lako ndiyo maana hukuangaika nayo. Nawaza!
We mtu hii research yako umeifanyia wapi??
Umeishi Mbeya?? Huku watu wengi hawaujui huo uislam unafananaje! Hawajui kama kuna dini nyingine zaidi ya ukriato. Na ndio maana kwenye mahuburi yao mengi hawautaji uislam.
Unawajua Wasabato? Hawa wao viya yao kubwa ni dhidi ya wakatoliki.
Umeishi hii mikoa ya pwani kama Dsm, Tanga, Zanzibar?? Huku waislam ni wengi sana. Hapa watoto huanza madrasa wakiwa wadogo kabisa na wengi wao huo ukristo hawaujui kabisa zaidi.
Ndio maana tunachangamana tu bila kujali huyu dini gani na yule dini gani kwasababu hatuna chuki kati yetu.
Iko Dubai imezuiliwa..5H-ONE haionekani kwenye flight radar!
Hivi hili linawezekanaje...!? Unanyang'anywa kabisa! Unaambiwa shuka ....katafute usafiri mwingine! Na ni Mkuu wa Kaya! Si aagize "waambata" wakaichukue "kimedani" aisee!!....imezuiliwa..
Acha kusambaza habari za uzushi kenge maji mkubwa wewe.Iko Dubai imezuiliwa..
Samia kichwa kinamuuma yani ni sawa msichana kala hela ya mwanaume halafu kabananishwa sehemu anaambiwa atoe mzigo, halafu hataki na hela kala....!
Wacheni kusambaza taarifa za uongo mnapata faida gani?Hivi hili linawezekanaje...!? Unanyang'anywa kabisa! Unaambiwa shuka ....katafute usafiri mwingine! Na ni Mkuu wa Kaya! Si aagize "waambata" wakaichukue "kimedani" aisee!!
Huu ni unyanyapaaji wa kutisha, kama ni kweli.
Asante kwa ufafanuzi!Wacheni kusambaza taarifa za uongo mnapata faida gani?View attachment 2724186
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hivi ndio vipengele vinavyotakiwa kubadilishwaIBARA ya 4(2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema, iwapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari, inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa Mali zake? Huu ujinga ubaki CCM na Dubai.
Nijuavyo mimi BAKWATA sio watu wa Washati km hawa wanaijipa utume na unabii kila siku lkn natamani sana bakwata na wao watoe waraka halafu tuone sasa.Kitendo cha TEC kusambaza waraka kwa waamini wake ni Sawa na kuligawa taifa, maana kesho Bakwata pia watatoa waraka wa kutetea, Sasa tunalopeleka taifa wapi?!
TEC acheni chuki hili taifa ni la watanzania wote.
Nyie kondoo endeleeni kupiga vigeregere lkn siku likiwaka mtashangaa.Wazee wa kobazi bwana. Elimu yenu ya madrasa haiwasaidii kufikiri na kutafakari. Huoni askofu Shoo katupa kijembe kwa mashekhe ubwabwa wanaotaka kugawa watanzania?