Askofu Dkt. Fredrick Shoo: Tusiwagawe watu kwa misingi ya dini

Kumbe kuna ushindani wa ukristo na uislam?

Mkuu chuki za kidini ni mbaya mno sizani kama jamii iliyokuzunguka wote ni wakristo.

Miaka yote atuna chuki za kidini hio roho ya kuchukia wenzio umeitoa wapi
Waislamu hata siku moja haanzishi maneno ya fitna na Chuki hapa Nchini.
Wabaya ni hao mitume feki waliozoea kudanganya kondoo .
Sasa siku kikiwaka watashangaa wenyewe
 
Hakuna lolote watanzania ni watu tofauti mno na unavyowadhania.

Mkibisha wakatoliki anzisheni vurugu muone kitakachotokea.

Hamtaamini macho yenu.

Sisi waislamu tunawasubiri mlianzishe.
Tuna wachapa kisomi hatu sumbuani na akili zenu kisoda
 
Na kweli mimi binafsi siwachukii Waislam kabisaa wala sina tatizo nao. Pia nina ndugu wa damu Waislam wengi kabisa. Ndugu na baadhi ya rafiki zangu Waislam ni wakweli na hawana dhuluma. Ni watu wema. Mwenyezi Mungu anayejua kila mtu anachowaza na kutenda Awaangamize wote wanaoeneza chuki za udini hapa Tanganyika! Ni wapumbavu kwa sababu si wasomi wa lo lote lile na nahisi wana akili ndogo sana.
 
Wenye akili wameelewa
 
Naamini anawaambia wanasiasa ambao Nina HAKIKA hawajaenda hapo kusali, Wana agenda zao.

Mkataba na DP world ni fake batili ufutwe haraka.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
 
Kuruka kwa maharage ndio kuiva kwake....
 
Hiki kitu ndo huwa mimi kinanichanganya...
 
Wakatoliki zaidi ya milioni 30 kwa mujibu wenu mnaangaika na mvaa ushungi mmoja tena mwenye elimu ya kuungaunga halafu bado mnajiona mna akili!

Nyie ni wapuuzi tu mngekuwa na akili msingekuwa mnaangaika na samia mda huu.
Washaambiwa hakuna Mwenye Ubavu, yani Taasisi itishe Dola kwa kuwa tu ina wafuasi,

kuna Siku Simba au Yanga nazo zinaweza kutishia Dola tukilea uhayawani huu


Hii tabia sasa ikomeshwe kama kukoma yenyewe imeshindikana
 
Washaambiwa hakuna Mwenye Ubavu, yani Taasisi itishe Dola kwa kuwa tu ina wafuasi,

kuna Siku Simba au Yanga nazo zinaweza kutishia Dola tukilea uhayawani huu


Hii tabia sasa ikomeshwe kama kukoma yenyewe imeshindikana
Ni ujinga tu na kutotumia akili.

Wanachokifanya kingewezekana kama hii nchi ingekuwa ni katoliki peke yake na samia ni muislamu pekee.

Nchi yenye dini mchanganyiko na na bado familia moja ina ndugu wa dini mchanganyiko ngumu kutumia kete ya sisi wengi kutisha mamlaka.

Yani mtu mwenye PhD anaamini yeye na waumini wake wana nguvu kuliko dola! huu upumbavu sikutegemea utoke kwa mtu anayejinasibu ni msomi.
 
Wakatoliki zaidi ya milioni 30 kwa mujibu wenu mnaangaika na mvaa ushungi mmoja tena mwenye elimu ya kuungaunga halafu bado mnajiona mna akili!

Nyie ni wapuuzi tu mngekuwa na akili msingekuwa mnaangaika na samia mda huu.
[emoji23][emoji23]
 
Eti PHD [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…