Askofu Dkt. Fredrick Shoo: Tusiwagawe watu kwa misingi ya dini


Kwa maneno mengine alichokisema askofu shoo ni kuwa, kama dhehebu ama taasisi za kidini zipo zliyopongeza uwekezaji wa dp world na hakuna aliyesema jambo kukemea, basi ikitokea taasisi ama dhehebu lingine la dini lilakosoa basi lisitishiwe kwa mlango wa kuingiza dini kwny siasa, na kwamba mtamkaji ndie wa kukemewa kwa kuleta udini.

Ukianza kupongezwa basi jitayarishe kukosolewa. BTW, dini ni Siasa iliyosoma
 
Naamini anawaambia wanasiasa ambao Nina HAKIKA hawajaenda hapo kusali, Wana agenda zao.

Mkataba na DP world ni fake batili ufutwe haraka.
Wanasiasa pamoja na maaskofu na mawaraka yao.
 
Huyo mswahili ana matatizo, anaonekana wazi leo ndio alikuwa anategemea yeye na mamake watapata angalau pointi ya kujitetea lakini wapi, hali yao bado mbaya sana hawa viumbe.
nadhani unemsikia Bana Askofu Shoo, anampongeza Rais kwa utulivu wake wakati huu wa mawimbi ya asubuhi, tuna imani sana na Rais

Mwisho wa Mtanange huu kuna Taasisi zitapata lesson mpya kuwa mipaka yao ya kutoa maelekezo na maagizo hayavuki nje ya majengo yao na kwa wafuasi wao
 
Hata mimi nina ndgu, jamaa na marafiki wengi tu ambao ni dini changanyikeni lakina hakuna mikwaruzano ya kidini achilia mbali mada za kuongea dini ipi ni blra.

Mtaani hizo story hamna kabisa ni huku mitandaoni tu.
 
Wewe unamchukia mtu asiye wa dini yako??
 
Waraka uko clear!!

Bandari zetu ni URITHI wetu hazitauzwa, kubinafsishwa Wala kugawiwa Bure Kwa wageni.
Haya uwe umeyasema pasipo kufikiria, au uwe umeyasema ukiwa hujui lolote kuhusu uchumi wa dunia ya leo hii.

TICTS amekaa pale bandarini kwa miaka 22, tunamuweka kwenye kundi lipi?.
 
Utulivu wa Rais Samia natamani uwekwe kwny Katiba Mpya kama sifa ya msingi ya Mtu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Samia ana bahati mbaya anaongoza nchi wakati huu ikiwa na vyuo vikuu vingi ikiwa na simu za mikononi zenye mawasiliano ya kisasa. Ana haki ya kuwa mpole na naamini Mzee Mwinyi licha ya kuwa umri ni mkubwa sana bado ana hekima nyingi na kila kinachosemwa anakielewa vyema.

Pia yupo mzee JK, huyu hana uzee kama wa Mwinyi hivyo anamfariji sana SSH kila wanapoongea kwenye simu.
 
Upuuzi mtupu umeandika mkuu elias, Mwezi wa kumi anakuja mwekezaji mwingine hapo hapo bandarini atapewa magati namba tisa mpaka kumi na mbili, pia Bagamoyo anakuja mwekezaji mwingine hivyo hakuna kitu kama hicho ulichokisema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…