Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nakataa si ya kwangu.Ya kwangu nilivaa.Hiyo ni ya mama yako mzazi mkuu wangu.Muangalie wakati anapuliza moto manyonyo yanavyoning'inia kama mkutira!Ni ya kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakataa si ya kwangu.Ya kwangu nilivaa.Hiyo ni ya mama yako mzazi mkuu wangu.Muangalie wakati anapuliza moto manyonyo yanavyoning'inia kama mkutira!Ni ya kwako
Wapuuzi nyie huku kaskazini kuna vyuo kibao vya KKKTNi vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.
Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.
Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.
Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?
Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Safi kabisa umeongea point mkuuMkuu wa kanisa usitoke kutoa ufafanuzi wowote kuhusu konde.waache wasiojua waendelee na mipasho yao.
Wanakonde sikilizeni maneno ya Askofu mteule aliyozungumza baada yakuchaguliwa,tafakarini Yale maneno.
Mtaelewa kitu kikubwa sana kisha noeni nanga ya huduma.
Uongo tuNgoja atujibu mwenyewe anayesingiziwa. Maana Mtaani ndizo zinzovuma.