Askofu huwezi mwelewa wewe, sio level zako huyo, na ana mawazo huru, wewe umefungwa huwezi mwelewa
Huyu askofu ni TUNU kwa nchi yetu; kumdhihaki ni kutukosea heshima wananchi wenye uelewa! Sio kila mtu mwenye mawazo huru yuko Chadema!!! Wengi wetu ni WATANZANIA kwanza, haya MaNGO yenu mnayaita vyama vya Siasa ni Magenge ya wezi tu!