Askofu huwezi mwelewa wewe, sio level zako huyo, na ana mawazo huru, wewe umefungwa huwezi mwelewa
Alitukanwa matusi gani?Mgombea Lowasa alitukanwa sana na alikashifiwa sana pamoja na kudhahikiwa kwa maneno ya kila aina pia na malofa wakaingizwa.
Kwako wewe hayo yote yalikuwa ni hoja!
Mngeanza kwanza kumueleza ukweli mbowe.
Alitukanwa matusi gani?
Askofu Bagonza amesema inafikirisha pale mgombea urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa huru na wa haki, tena Mwenyekiti wa chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.
Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Msukuma alimwambiaje lowasa?Alitukanwa matusi gani?
Unachonijibu hakifanani na nilichokiandika, hata hivyo asante kwa kuniona.Mmeambiwa mshindane kwa hoja,sio matusi yatayoleta vurugu. Sasa mna hoja gani ya kupambana na Ccm iliyo chini ya JPM?
Askofu Bagonza amesema inafikirisha pale mgombea urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa huru na wa haki, tena Mwenyekiti wa chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.
Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Usipoteze muda na chui katika ngozi ya kondoo.Askofu Bagonza amesema inafikirisha pale mgombea urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa huru na wa haki, tena Mwenyekiti wa chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.
Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Huu ndio ujinga sasaTuacheni upotoshaji! Rais sio taasisi bali ni mtu mmoja tu, ofisi ya rais ndio taasisi.
Huu ujinga wa kusema rais ni taasisi mnautoa wapi?
Utopolo wamejazana lumumba hamuwezi kujibu hoja,mmebaki kusifia tuAskofu Bagonza amesema inafikirisha pale mgombea urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa huru na wa haki, tena Mwenyekiti wa chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.
Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Ahsante kwa kuja bwashee!Wee mzee siyo lazima kila siku ujaze server kama huna la maana la kuandika. Kukaa kimya nako rukhsa
Huoni Zahanati,Vituo vya afya na hospital walizosogezewa wanavijiji?50,000,000 kila kijiji
Umeshajibiwa. Hakuna mgombea aliyedhibitiwa. Mnatakiwa mshindane kwa hoja sio matusi yatayoleta vurugu.Unachonijibu hakifanani na nilichokiandika, hata hivyo asante kwa kuniona.
Kwa kanuni zilizoandaliwa na tume kusimamia uchaguzi, ni CCM tu ndio watakaorudi bungeni. Kanuni ya 30(1) inatoa ruhusa kwa AG, NEC Director, Msajili wa vyama, au RO (hao wote ni watendaji wakuu wa Serikali, and this is unprecedented) kumwekea pingamizi mgombea ubunge. Unajua kilichofungwa humo? Kukijua hicho rejea kilichofunguliwa katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji mwaka Jana (2019). Wembe utakuwa uleule kama wapinzani hawajaamuka sasa na kuingia mitaani. Wakiendelea kuwa waoga wameliwa, na sisi sote tutakuwa tumeliwa.Mtoa Mada Njaa Inamsumbua, ukweli anaujua ila anacheza na akiri zetu. Mgombea alijuaje uchaguzi utakuwa huru na haki wakati wagombea na vyama vishiriki wanalalamikia tume ya uchaguzi... Hata hivyo Pamoja na tume hii isiyo huru lolote laweza kutokea na Wakashangaa Wanaojidanganya kuwa CCM wote watarudi na wapizani kwa heri.
Bagonza Yuko too biasedAskofu Bagonza amesema inafikirisha pale mgombea urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa huru na wa haki, tena Mwenyekiti wa chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.
Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Jana Magufuli alikuwa anahutubia bunge Kama rais au mwenyekiti wa ccm?Askofu Bagonza amesema inafikirisha pale mgombea urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa huru na wa haki, tena Mwenyekiti wa chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.
Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?
Maendeleo hayana vyama!