Askofu Dr. Stefano Moshi, mtoto wake Eng. Zebedayo Moshi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya KKKT

Askofu Dr. Stefano Moshi, mtoto wake Eng. Zebedayo Moshi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya KKKT

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Sasa nirudi kwenye mada.
Kumekuwa na kupeana nafasi kwa watoto wa maaskofu huko Dayosisi ya kaskazini , nafasi kubwa za kikazi ,kanisa limejenga ngome ambayo watoto wa waumini wengine ambao baba zao sio maaskofu nafasi hutapewa na nafasi za kaxi hazitangazwi.

Mifano ni mingi ila nieleze michache;-

1. Mkuu wa chuo cha Masoka ambacho sasa ni tawi chuo kikuu cha Tumaini ni mtoto wa baba askofu mstaafu Kweka. Prof Amini Kweka.

2. Mkufunzi wa chuo cha Tumaini Makumira ni mtoto wa askofu mstaafu askofu Shao.

3. Mkufunzi wa chuo cha Tumaini Makumira ni mtoto wa askofu Stefano Moshi ambaye ni Mch Nehemia Moshi ambaye anaandaliwa kuwa askofu wa Dayosisi ya Kaskazini na ambaye

4. Kaka yake ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskani Engineer Zebedayo Moshi.

5. Mtoto wa Askofu msataafu Kweka ni Daktari hosptali ys rufaa ya KCMC ambayo ilianzishwa na askofu Stephano Moshi .

Sasa kwa hali hii, watoto wa watoa sadaka kila jumapili kazi watazipata lini huko Dayosisi ya Kaskazini? Uelekeo wa sadaka ni ule ule na uelekeo wa kaxi kubwa kubwa ni ule ule .

Niwatakie Xmas Njema
 
Watoto gani wa waumini wa dayosisi ya kaskazini wana hizo sifa?
Mfano ni hiyo ya udaktari nani anayo na amekosa kazi?

Huyo aliyepewa ukatibu ni muhandisi hao watoto wenu nyie waumini ni kina nani?
Acheni kuichafua KKKT bana
 
Watoto gani wa waumini wa dayosisi ya kaskazini wana hizo sifa?
Mfano ni hiyo ya udaktari nani anayo na amekosa kazi?

Huyo aliyepewa ukatibu ni muhandisi hao watoto wenu nyie waumini ni kina nani?
Acheni kuichafua KKKT bana
Nimejiuliza tu huko Makumira kuna wahadhiri wangapi ambao sio watoto wa maaskofu?
 
Sasa nirudi kwenye mada.
Kumekuwa na kupeana nafasi kwa watoto wa maaskofu huko Dayosisi ya kaskazini , nafasi kubwa za kikazi ,kanisa limejenga ngome ambayo watoto wa waumini wengine ambao baba zao sio maaskofu nafasi hutapewa na nafasi za kaxi hazitangazwi.

Mifano ni mingi ila nieleze michache;-

1. Mkuu wa chuo cha Masoka ambacho sasa ni tawi chuo kikuu cha Tumauni ni mtoto wa baba askofu mstaafu Kweka. Prof Amini Kweka.

2. Mkufunzi wa chuo cha Tumaini makumira ni mtoto wa askofu mstaafu askofu Shao.

3. Mkufunzi wa chuo cha Tumaini Makumira ni mtoto wa askofu stefano Moshi ambsye ni Mch Nehemia Moshi ambaye anaandalifu kuwa askofu wa Dayosisi ya Kaskazini na ambaye

4. Kaka yake ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskani Engineer Zebedayo Moshi.

5. Mtoto wa Askofu msataafu Kweka ni Daktari hosptali ys rufaa ya KCMC ambayo ilianzishwa na askofu Stephano Moshi .

Sasa kwa hali hii, watoto wa watoa sadaka kila jumapili kazi watazipata lini huko Dayosisi ya Kaskazini? Uelekeo wa sadaka ni ule ule na uelekeo wa kaxi kubwa kubwa ni ule ule .

Niwatakie Xmas Njema
Mbona wanafiti tu,ma phd na ma engineer hakuna vilaza
Acha kulia lia katoe sadaka huko,umesahau kuwa wana wa mlawi wameruhusiwa kula madhabahuni?
Halafu kisima cha yakobo lazima kichungwe sana kisije kutwaliwa na watu wa mataifa,watakinajisi tuu
 
Kwa vyeo tajwa inaonesha hao watoto waliwekeza kwenye elimu na wakatumia opportunity --- connection

endapo mleta mada una mashaka na elimu zaooo basi tumia kigezo iko
 
Sasa nirudi kwenye mada.
Kumekuwa na kupeana nafasi kwa watoto wa maaskofu huko Dayosisi ya kaskazini , nafasi kubwa za kikazi ,kanisa limejenga ngome ambayo watoto wa waumini wengine ambao baba zao sio maaskofu nafasi hutapewa na nafasi za kaxi hazitangazwi.

Mifano ni mingi ila nieleze michache;-

1. Mkuu wa chuo cha Masoka ambacho sasa ni tawi chuo kikuu cha Tumauni ni mtoto wa baba askofu mstaafu Kweka. Prof Amini Kweka.

2. Mkufunzi wa chuo cha Tumaini makumira ni mtoto wa askofu mstaafu askofu Shao.

3. Mkufunzi wa chuo cha Tumaini Makumira ni mtoto wa askofu stefano Moshi ambsye ni Mch Nehemia Moshi ambaye anaandalifu kuwa askofu wa Dayosisi ya Kaskazini na ambaye

4. Kaka yake ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskani Engineer Zebedayo Moshi.

5. Mtoto wa Askofu msataafu Kweka ni Daktari hosptali ys rufaa ya KCMC ambayo ilianzishwa na askofu Stephano Moshi .

Sasa kwa hali hii, watoto wa watoa sadaka kila jumapili kazi watazipata lini huko Dayosisi ya Kaskazini? Uelekeo wa sadaka ni ule ule na uelekeo wa kaxi kubwa kubwa ni ule ule .

Niwatakie Xmas Njema
Ila kwa waislamu hakuna Mambo hayo. Mfano sheikh ubwabwa aliyekua anamuona mwendakuzimu kua Ni zaidi ya mtume Hana undugu na sheikh yoyote.
 
Kuandika kwenyewe hujui alafu unataka Kanisa likuamini!kaxi ndio nini?
 
Sasa nirudi kwenye mada.
Kumekuwa na kupeana nafasi kwa watoto wa maaskofu huko Dayosisi ya kaskazini , nafasi kubwa za kikazi ,kanisa limejenga ngome ambayo watoto wa waumini wengine ambao baba zao sio maaskofu nafasi hutapewa na nafasi za kaxi hazitangazwi.

Mifano ni mingi ila nieleze michache;-

1. Mkuu wa chuo cha Masoka ambacho sasa ni tawi chuo kikuu cha Tumauni ni mtoto wa baba askofu mstaafu Kweka. Prof Amini Kweka.

2. Mkufunzi wa chuo cha Tumaini makumira ni mtoto wa askofu mstaafu askofu Shao.

3. Mkufunzi wa chuo cha Tumaini Makumira ni mtoto wa askofu stefano Moshi ambsye ni Mch Nehemia Moshi ambaye anaandalifu kuwa askofu wa Dayosisi ya Kaskazini na ambaye

4. Kaka yake ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskani Engineer Zebedayo Moshi.

5. Mtoto wa Askofu msataafu Kweka ni Daktari hosptali ys rufaa ya KCMC ambayo ilianzishwa na askofu Stephano Moshi .

Sasa kwa hali hii, watoto wa watoa sadaka kila jumapili kazi watazipata lini huko Dayosisi ya Kaskazini? Uelekeo wa sadaka ni ule ule na uelekeo wa kaxi kubwa kubwa ni ule ule .

Niwatakie Xmas Njema
Hebu iangalie serikali ya Zanzibar na ya muungano, pepeta tuone kama utapata chuya.
 
Back
Top Bottom