Askofu Gamanywa: Nilimuombea hayati Magufuli nina uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba

Tu
Tusirudie makosa ya kuwapa uongozi wasukuma, wengi wana matatizo
 
Hao ni matapeli tu,utawasikia wanasema tunafufua walio kufa.
Sijui kama kule kipindi kilichokuwa kinarusha TBC na Askofu akawa ndo mwongozaji mkubwa kama kitakuwepo tena .
Kwani mambo mengi yatabadilika hata huyo Ndugu yangu Rioba sijui kama ataendelea kuwepo
 
"Aaamin"Baba Askofu Gamanywa.
Mungu akulinde Askofu Gamanywa kwa upendo wako.
 
John Pombe Magufuli Mwenyewe alishafanya mazungumzo na Mungu wake kwa imani yake. Mwacheni apumzike kwa amani kwa Mungu wake aliyemtumikia

Maneno yake ya mwisho yanajieleza

 
Sijui kama kule kipindi kilichokuwa kinarusha TBC na Askofu akawa ndo mwongozaji mkubwa kama kitakuwepo tena .
Kwani mambo mengi yatabadilika hata huyo Ndugu yangu Rioba sijui kama ataendelea kuwepo
Rioba muda wake wa kurudi chuoni umewadia
 
Sijui kama kule kipindi kilichokuwa kinarusha TBC na Askofu akawa ndo mwongozaji mkubwa kama kitakuwepo tena .
Kwani mambo mengi yatabadilika hata huyo Ndugu yangu Rioba sijui kama ataendelea kuwepo
Kati ya wapumbavu ninaotaka waondolewe TBC ni huyu Rioba, kaigeuza TBC kuwa chombo cha kumsifu na kumuabudu jiwe 24/7
 
Ina maana aliongea na Mungu kujua kama Magufuli amefika huko salama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…