Askofu Gamanywa: Nilimuombea hayati Magufuli nina uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba

Askofu Gamanywa: Nilimuombea hayati Magufuli nina uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.

Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.

Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.

Chanzo: Shallom tv
 
Huyo askofu haileweki hapo.
Ni kama mnafiki fulani hivi anayetafuta umaarufu.

Hivi mbinguni watu wanakwenda kwa kuombewa na maaskofu?

Sasa walimuombea akiwa hai au akiwa amekufa?

Kwanini hawakumuombea wakati akiumwa ili apone na kuendelea kuwatumia watanzania?
 
Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.

Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.

Source Shallom tv
Tunataka amfufue aache sound zake
 
Huyo askofu haileweki hapo.
Ni kama mnafiki fulani hivi anayetafuta umaarufu.

Hivi mbinguni watu wanakwenda kwa kuombewa na maaskofu?

Sasa walimuombea akiwa hai au akiwa amekufa?

Kwanini hawakumuombea wakati akiumwa ili apone na kuendelea kuwatumia watanzania?
Hao ni waganga njaa tu na waongo wakubwa tu
 
Hii mijizi na mitapeli inayomchuuza Mungu shut up your first shitholes tafadhsli. We gamanywa anahitaji kuombewa. Na amin wewe na matapeli wenzako wa kiroho mtakufa vifo vibaya.
Hawa majamaa wangepigwa marufuku tu maana wanadanganya sana
 
Kabla ya mauti au baada?
Kama ni kabla, ina maana alijua kuwa atakufa?
Hata hivyo taarifa za kuugua kwa Hayati Rais Magufuli hazikuwa wazi sana.
Swali. Ina maana kuna watu walijua hali yake pamoja na jamii kuwa katika sintofahamu juu ya hali yake/wapi alipo lakini walibaki kimya?

Naona anaibua mjadala ambao siyo muhimu kwa sasa kuliko kuacha shughuli za kuaga na mazishi ziendelee
 
Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.

Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.

Source Shallom tv
atapokelewa Mbingun tu kwa matendo yake. Mungu tu ndio ajuaye kama ataenda huko ama lah.
 
Back
Top Bottom