Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima amlaumu Halima Mdee kwa mafuriko ya Dar-es-Salaam siku ya leo

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima amlaumu Halima Mdee kwa mafuriko ya Dar-es-Salaam siku ya leo

Aibu ya kwako,leta miujiza,ya kupeleka Maendekeo kibaguzi hata ukubalike na Wana kawe,kwakuwa alikuwa ni wakutoka upinzani mliwanyima maendeleo kwakuwa hawakuwachagueni,Leo unatoka usingizini unasahau mliyoyafanya,sii kwa kawe pekee Bali kule walikochagua wapinzani.Njoo na hoja nyingine kwa Wana kawe na kwa watanzania
 
Politics, sometimes, is about making fun or a fool of yourself in order to gain power or make a living.
 
Gwajima mpuuzi sana sehemu kubwa ya jiji la Far es Salaam Jana ilikumbwa na mafuriko jee ni Halima Mdee ndiye Mbunge wa jiji lote la Dar es Salaam? Huyu dhambi ya uzinzi,kukashifu dini za wengine na kucheza picha za ngono inamtafuna
 
Haya mafuriko ya seheme ya BASIHAYA ni matokeo za sera za JIWE za kuwahujumu wananchi kwa kutopeleka miundombinu ya maendeleo sehemu ambako wabunge wake ni wa upinzani!!! Unfortunately, hajui kuwa fedha zote za serikali zinatokana na kodi za wananchi wote na sio wapiga debe wa ccm peke yao!! Rais bora asingekuwa anawabagua wananchi anaowaongoza.
Halafu mtu wake huyo anatoa visingizio uchwara,kwamba mpinzani wake ndio kashindwa,Watanzania site wapenda haki,kwani naamini hakuna anayependa dhulma tunaenda kuwaadhibu vikali Oct.28.
 
Asubiri apate ubunge afaidi vizuri kanisani na jimboni hao anaowachungulia.
 
Kama ni kweli anamlaumu, basi nimeamini yule mkata viuno kwenye ile clip ni yeye kabisa.
 
Ila kweli watanzania tumekuwa watu flani ivi sijui tunakoelekea Ni wapi kweli mtu anaongea pumba ivi alafu watu wana msapoti dah so sad

Usishangae hii ni siasa, na sio Tanzania tuu ni dunia nzima wanasiasa wanafanana. Hata uende ulaya au Marekani haya unayo yaona hapa na huko utayakuta ya kivyake vyake.
 
Huyu Gwajiboy hajielewi....bei sukari kuwa juu (2900sh/kg) kuliko ya Zanzibar (1500sh/kg) anadai kwa sababu Mdee ni Mbunge wa Kawe...
 
Gwajima hataiona bunge na kukaa mle ndani Milele sawa na malaya na wakata viuno watakavyokosa kuona ufalme wa Mungu kwa kula kondoo
Tabia chafu kuchungulia ndani kwa watu tena kupitia dirishani, hao wadada wamejifunga kanga siyo ajabu zimelowa halaf yey anachungulia
Unataka kumchafulia Gwajima lakini kawe tunataka maendeleo na mabadiliko kwahiyo usituambie huu ujinga wako
 
Back
Top Bottom