Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima amlaumu Halima Mdee kwa mafuriko ya Dar-es-Salaam siku ya leo

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima amlaumu Halima Mdee kwa mafuriko ya Dar-es-Salaam siku ya leo

"UMESHIKA KIJITI KWA MIAKA ALMOST 5,SASA JE UMELISAIDIAJE JIMBO LA KAWE"
Haya ni maajabu.
Gwajima hajatimiza ahadi zake alizotoa wakati anaomba kura; aliahidi kukomesha mafuriko kule Tegeta lakini hajatengeneza barabara haşa ile ya kutoka Nyaishozi kwenda Nyamachabezi! Bila kuitengeneza hii barabara asahau kupata kura!
Aliahidi kuwapeleka ulaya wavuvi wa Kawe kujifunza njia bora za kuvua samaki lakini wapi!
Kuwachezesha wasichana Redy badala ya kazi haviwezi kumpatia kura hata akiomba msaada wa “ zero” brain!
Kukwangua barabara kwa magreda sio suluhisho la ubovu wa barabara kwani mwaka kesho mvua zikinyesha tatizo litanirudia!! Linahitajika suluhisho la kudumu!
 
Hata mtoto wa chekechea atajua anachofanya "gwaji boy" hapo ni uigizaji na utapeli tuu, hivi amesha wapeleka raia wa kawe Marekani kama alivyo ahidi 🤔🤔
 
Waandishi na Gwajima ni wapumbavu!
Halima Mdee ndo aliwatuma hao Wananchi wapumbavu wakajenge kwenye mkondo wa Maji?!
Halima ndo anapanga mji?!

Wananchi wapumbavu sana Hawa!
 
Yeye Gwajima kwa muda huo wa miaka minne amefanya nini ...... Asiwafanye Wananchi wake wajinga.

Yaani yeye kutembea hapo kwenye maji na kuongea anajiona tayari kafanya kazi ....Pu$#&vu zake!
 
Back
Top Bottom