GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu nakupa ONYO leo nimeamka vibaya hivyo angalia sana nisije nikazimalizia hizi Hasira zangu Kwako. Kwanini uheshimu Mawazo yangu Wewe?“Kumchagua mtu ni kuamini katika uwezo wake wa kufanya maamuzi”
“Kumuingilia au kumshutumu anapoyafanya si sawa, hata biblia inakataa”
Mkuu nakupa ONYO leo nimeamka vibaya hivyo angalia sana nisije nikazimalizia hizi Hasira zangu Kwako. Kwanini uheshimu Mawazo yangu Wewe?
Ila ujue mimi sipangiwi!Ni mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
You head need to be examinedNi mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
7.Umi Mwalim.....................................waziri wa afya(huyu mama amefanya kazi nzuri mno na ngumu janga la Corona sijui walitumia mbinu gani na muhehimiwa mungu awajalie mdudu Corona aogope kurudi tenaNi mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
Dah wacheni kumchagulia safu yake ya uongozi. JPM ameaminiwa kwa kura za kishindo hivyo yeye mwenyewe anapanga safu yake ya Hapa Kazi Tu.
Ni mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
Makonda atateuliwa viti maalumu!
Sasa bunge litabarikiwa siyo wale wachungaji chumia tumbo akina Msigwa!
Acha mchungaji akawatafune wake za watu huko bungeniSasa bunge litabarikiwa siyo wale wachungaji chumia tumbo akina Msigwa!
Sheria za kuteuliwa kuwa waziri unazijua? Ni kwamba waziri awe amewahi kufanya Kazi serikalini na kuwa na faili la kazi serikalini ,je watajwa wamewahi?