Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Halima akifungulia mvua kuhusu huyo Porn Star msianze lawama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlivyo na vichwa vidogo vyenye tafsiri za ajabu kigogo kesha watafsiria!Sindano zinawaingieni nyinyi, tazama leo hii mama maria alivyo wakataa pale musoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana tunaitajika kuchagua viongozi wenye hekimaa si uyu na maneno ya shobo,Tena anajiita Mchungaji!!!Bi kidude ana kosa gani hapo mpaka kufananishwa na ugomvi wa kisiasa daah
Kesi unayo wewe ndio humpelekea banghi!Huyo ndiye kiboko ya magamba, anaitwa sauti ya zege.. A. K. A.. Adam Bakari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbuzi karibu anamaliza kuula mkeka sijui nyinyi wapambe mtakula wapi?Mlivyo na vichwa vidogo vyenye tafsiri za ajabu kigogo kesha watafsiria!
Bhangi anavuta yule mbunge wenu aliye pendekeza kuwa bhange iluhusiwe pale bungeniKesi unayo wewe ndio humpelekea banghi!
Gwajima ana matusi sana na dharau kwa waislamHivi siyo kumkosea heshima Bi Kidude kweli?
An icon kila Sauti za Busara zilipofanywa ilikua ni lazima awepo.
Kwa Tanzania na dunia alikua ni nembo ya muziki wa Taarabu.
Nyimbo zake zipo dunia nzima, amefanya matamasha nje ya Tz na ndani ya Tz muda wote akimaintain taswira ya bibi mchangamfu asiye na makuu.
Kisha anatokea Gwajima na anatumia jina la Bi Kidude kama namna ya kumkashifu mtu mwingine.
Siyo vizuri, hii tabia itasaidia kupata vicheko viwili vitatu kutoka kwa wasikilizaji ila ni kujivunjia heshima.
Eh nilisahau, heshima alishaachana nayo tangu siku aliyovunja ndoa ya Mbasha na kuingia kwenye ugomvi na Makonda.
Mbona napenyezewa hapa unaendesha maisha kwa hicho kichwa chako kimoja!Bhangi anavuta yule mbunge wenu aliye pendekeza kuwa bhange iluhusiwe pale bungeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnae huyo Gwajima khamataaa hao!
Hizo lugha za matusi mpelekee bosi wako chakubanga pale lumumba wakati anakupa poshoMbona napenyezewa hapa unaendesha maisha kwa hicho kichwa chako kimoja!
Gwajima kapitishwa kwa huruma kisa msukhuma tu lkn matokeo ya kura atapata namba za viatuMnae huyo Gwajima khamataaa hao!
Mimi sijui hilo ila najua anachukua kawe!Gwajima kapitishwa kwa huruma kisa msukhuma tu lkn matokeo ya kura atapata namba za viatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndipo alipojimaliza, sasa asubiri zamu yake.Bi kidude ana kosa gani hapo mpaka kufananishwa na ugomvi wa kisiasa daah
Huyu naye asituchoshe
Hawezi kujifananisha na Halima
Halima kakomaa kisiasa sasa wewe umekomaa ushamba na udwanzi
Tungekuwa tumepoa tungezunguka na wasanii kwenye mikutano yetu.Ila chadema muwe wakweli, safari hii dar mmepoa sana. Nawatabiria mnaweza bahatisha jimbo moja tu. Nalo kwa taabu sana
Gwajima Josephat anachokiweza kwa ufasaha ni kucheza viedo za ngono na wake za watuYatahudumiwa na Mdee!