zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Udhaifu wa kutoungana, na poor media campaign unawacost. Ila ACT/CUF na CHADEMA wakishirikiana kwa Dar bado sioni majimbo mengi yakirudi CCM.Ila chadema muwe wakweli, safari hii dar mmepoa sana. Nawatabiria mnaweza bahatisha jimbo moja tu. Nalo kwa taabu sana