Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Gwajima ni msomi asie jitambua,mm nikimuonaga mwanaume ambae amekalia mipasho,umbea,kutukana kila mmoja ,dharau namuona ni mjinga sana.Kwa mfano swala la kuambia waislam kuwa miskiti ataifanya Sunday schools wakati anajua hii nchi haina dini alikosea sana na itamkost sana.