Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inashangaza sana kwa kweli kumtaja marehumu asiye na kosa lolote kisa mtu apate kiki tu, hata mama masamia nimemdharau sana nilidhani ana busara kumbe bure kabisaBi kidude ana kosa gani hapo mpaka kufananishwa na ugomvi wa kisiasa daah
Huyu muigizaji wa sinema za ngono mkabidhini wake zenu ila kura sisi hatumpi.sisi waislam tunampenda sana na hatuna shida nae, tunshida na ww kafir usiye mjua mwenyezi Mungu
Hobie ya gwajimaPorography ndo Nini mkuu🤔?
[emoji23] We jamaa bn, ama kweli nyani haoni kundule, vipi zile mnazochangisha kwenye majukwaa yenu ya kampeni[emoji848]?
Wewe unapigania mwana koromomije mwenzio, tuankuelewa ila huyo Gwajima alimkashifu sana kadinali pengo, hatuwezi kusahau hilo na tutamchapa sana kwenye uchaguziDah[emoji848] Yani bado Kuna watu wanajisifia kuwahi kufika hapa dar...? Wanaoijenga dar ndio, hawahawa wakuja, wewe Basi lako ulilo panda kuja dar, huenda halifanyj kazi, Ila Ni mlala hoi, endapo tutaamua kukulinganisha nae[emoji23][emoji23][emoji23].Acha mihemko ya siasa,ujue kabisa unapigania matumbo ya wenzako, Ohooo ..![emoji23][emoji23][emoji23]
Wachana na mh Lissu ambaye ni rais mtarajiwaKama Lissu anavyofanya kwenye kampeni zake[emoji848]?
Au ndo mkuki kwa nguruwe?
Upo sahihi kabisa mkuuHuyu siasa hazimafai, dini ndo taratibu imeanza kumkataa
Mahali anakofit ni ponography tu
Mamndenyi kwenye ubora wakoHeri hata yule chekibobu aliyeenguliwa siyo gwajima.
Walisha mkabidhi chakubangaSasa kwenye majukwaa ya siasa ni kanisani??
Mataga huwa mnaacha wapi ubongo?
HayupoHivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumchagua gwajinga awe mbunge wake
Pengine wale walioko kwenye Makazi ya mileke
Na wenye akili za kuchongaPengine wale walioko kwenye Makazi ya mileke
Huyu askofu anayemendea misikiti ili aibadili iwe sunday school ni mzalilishaji ndiyo maana alimrekodi muumini wake akiwa anamchakata.Hizo ndizo lugha zinazotoka kwenye kinywa cha mtu anayejiita askofu.
Askofu kura yangu umeikosaAskofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.
Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.
Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.View attachment 1559570
Na kweli kafanana na bi kidude.Salute kwake Jembe View attachment 1559583
Tumemsikia mrembo, sasa tunasubiri pambano kati ya mrembo na bi kidudeAskofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.
Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.
Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.View attachment 1559570
Na imeanza kweli, baada ya kuona kwao kuna bi kiroboto basi kaamua mambo yawe sawaKazi imeanza