Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Anayetakiwa kuchechemea ili CCM tushinde, atachechemea...

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Anayetakiwa kuchechemea ili CCM tushinde, atachechemea...

Ajifunze kwanza style mpya kama popo kanyea kambi, paka chongo, mende kuchungulia tundu la choo ndo aanze kumchamba mdee hiyo style yake ya kisukuma ni kichambo tosha kwake
 
In reality huyu Gwajima ambaye ni mgombea wenu CCM anaweza kufufua mti aliyekufa???
Nimeongelea Dar kwa ujumla wake. Safari iliyopita kulikuwa vichwa kweli kweli. Mwaka huu ni Halima peke yake angalau anaweza shinda.

Kumbuka 2015 Kulikuwa na Ukawa. Safari hii kila Chama kinapambana kivyake.
 
Hana ubavu wa kushindana na halima mdee huyo askofu tapeli
 
Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.

Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.

Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.View attachment 1559570

Amesemaje pia kuhusu Kufanya Kwake Ngono kwa Kula Kondoo wake Kanisani, Kuwatukana Waislamu na Kuwakwaza Wakatoliki kwa Pengo wao?
 
Yaani kweli umchague gwajima?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule bibi aachwe apumzike, kalitendea makubwa taifa hili.
Labda kama jina lake linatumika kwa wema.
 
Huyu naye asituchoshe
Hawezi kujifananisha na Halima
Halima kakomaa kisiasa sasa wewe umekomaa ushamba na udwanzi
Mmmh kampeni za huko Kawe zitakuwa na makubwa...tutayajua mengi ambayo tulikuwa hatuyajui...
 
Back
Top Bottom