Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
mmemuamsha kikongwe wa watu mje kujaza mkutano wenu alafu kawaumbua live bila chenga 🤣🤣🤣Mlivyo na vichwa vidogo vyenye tafsiri za ajabu kigogo kesha watafsiria!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmemuamsha kikongwe wa watu mje kujaza mkutano wenu alafu kawaumbua live bila chenga 🤣🤣🤣Mlivyo na vichwa vidogo vyenye tafsiri za ajabu kigogo kesha watafsiria!
Upumbavu huo.Duniani wawili wawili!
Acha uongo. Sasa hivi mmeshajua kawe mnapoteza
Amewakataaje?Sindano zinawaingieni nyinyi, tazama leo hii mama maria alivyo wakataa pale musoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Gwajima mandingo wa video za ngono ndo anamsema mdee??Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.
Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.
Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.View attachment 1559570
Hakuna wa kumchagua mfuga majiniAcha uongo. Sasa hivi mmeshajua kawe mnapoteza
nashindwa kuelewa,au kosa lake ilikuwa kuishi muda mrefu duniani, au kazi yake ya sanaa ilikuwa kero, inashangaza na nakosa jibuBi kidude ana kosa gani hapo mpaka kufananishwa na ugomvi wa kisiasa daah
Mtumishi wa Mungu na majini tena?
Kila mgombea na mbinu zake. Hiyo ni mbinu ya CCM, siyo lazima wengine waige.Tungekuwa tumepoa tungezunguka na wasanii kwenye mikutano yetu.
Kidudeeeee!Salute kwake Jembe View attachment 1559583
nashindwa kuelewa,au kosa lake ilikuwa kuishi muda mrefu duniani, au kazi yake ya sanaa ilikuwa kero, inashangaza na nakosa jibu
Hujui? Haya sikikiza mlivyo kataliwa mchana kweuuupee pale musomahttps://twitter.com/ngurumo/status/1302233135799771136?s=09Mtumishi wa Mungu na majini tena?
LesbSalute kwake Jembe View attachment 1559583
Deo upo? Vipi Tarime unagombea tena? Hahhaha au unaogopa kuambulia kura 300 jimbo zima?Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.
Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.
Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.View attachment 1559570