[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Halima hivi kaolewa kweli? Hili swaga naona ni nomaKatika vitu ambavyo sijawahi kutamani kuvifanya ni kugombana na wanawakeView attachment 1559615
Hahahahhahaaaa...Katika vitu ambavyo sijawahi kutamani kuvifanya ni kugombana na wanawakeView attachment 1559615
Aaaah yamekuwa hayoo kwaheri!
Hatuzungumzii ukabila hapa!
Huu ni muendelezo wake wa kuchukia uislamu kwann asimfananishe na mbibi wa kikristo,mm ni mkristo AICT,lkn naona gwajiboy ana chuki sn na uislamuBi kidude ana kosa gani hapo mpaka kufananishwa na ugomvi wa kisiasa daah
Sababu tu ni muislamuHuyu askofu uchwara kala maharage ya wapi?
Kwanini anamtumia Bi kidude kuwatusi wengine?
Anamfahamu vizuri marehemu Bi kidude kweli? An icon of swahili music!
Yaani kwake mtu kuwa Bibi kidude ni tusi?
Kawe najua hawatafanya makosa,twende na sauti ya zege,mchungaji tuna mwomba arudi kuchunga kondoo wake Ila na waasa wafuate mafundisho Ila sii matendo.Ndo maana tunaitajika kuchagua viongozi wenye hekimaa si uyu na maneno ya shobo,Tena anajiita Mchungaji!!!
Acha kuchomekea udini kumchafua Gwaji jenga hoja Halima ni muislam?
sindano toka kwa pornstarTulieni sindano ziwaingie nyambafu!
Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.
Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.
Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.
Au Mama Samia SuluhuYatahudumiwa na Mdee!
Tulieni sindano ziwaingie nyambafu!
Kwani huyo Gwajima kwao si ni koromomije?Hatuzungumzii ukabila hapa!