Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Anayetakiwa kuchechemea ili CCM tushinde, atachechemea...

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Anayetakiwa kuchechemea ili CCM tushinde, atachechemea...

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.

Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.

Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.
 
Kuna uhusiano kati ya 'shetani' na siasa..Gwajima amepokea wito na afanyayo ni muendelezo wa matendo na ufuasi wake kwayo. Tokea amle kondoo zizini,ajifanye anafufua wafu na kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi kufisha kashfa yake ya video za ngono (badala ya kutubu kwa muumba wake) sikuwahi kumuamini huyu mtu.
 
Khaaaaaa..... huyu baba anamdomo mchafu na vichambo kama vya kwenye khanga, hata mwajuma nchokonoe akasome ili amfikie...
Sijui hata uaskofu alipewa na nani..[emoji850][emoji850]
 
Salute kwake Jembe

member-of-parliament-of-the-chadema-party-halima-mdee-speaks-during-a-picture-id1206758222.jpeg
 
Back
Top Bottom