Upinzani wanatetemeka!! Jimbo la kawe linabaki historia kwa mdee..alijua angekua mbunge wa kudumu kawe.
Ukizingatia kwamba Jimbo la Kawe linajumuisha maeneo Kama vile Msasani, Mikocheni, Ostebay, Makongo, Kunduchi, Wazo, Madale, Bunju, Tegeta, Boko, Mbweni, Mbezi Beach, Ununio na Mabwepande.
Ni sehemu za kishua sana kwa Dar na kuwashawishi hawa wapiga kura unahitaji kuwa smart sana.
Ukiangalia Mdee na Gwajima wapo smart kichwani haswa ukirejea hotuba zao na namna ya kujenga hoja.
Kashfa za Gwajima na uropokaji wake ndiyo kikwazo kwake.
Sasa inategemea na uwezo wake wa kuzifukia hizi kashfa na kusonga mbele kitu ambacho Ni kazi ngumu ikizingatiwa na muda Ni mchache.
Ila kimsingi mechi ya Kawe Ni ngumu