Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Hizi attacks ni very personal. Ni nani asiye na dhambi na asimame ampige mawe mwanamke yule. Acheni personal attacks. Ni sawa na kusema Mdee msagaji, kamuoa Bulaya!!! Hamna aliyekamilika, and upinzani acheni kabisa hizo ishu, wenyewe mna makashfa mengi tu. Kila mgombea na asimame aseme ataifanyia nini Kawe.Kwahiyo hiyo Abbas Tarimba ndio sabuni ya kumsafisha na makashifa ya ngono na utapeli na kuvunja ndoa za watu. Pia anatuhumiwa kumtukana askofu Pengo. Yale ma porn movie yake tunayo.