Askofu Gwajima asema yeye na Abbas Tarimba ni mapacha, amkaribisha kanisani kwake na kumpigia kampeni

Askofu Gwajima asema yeye na Abbas Tarimba ni mapacha, amkaribisha kanisani kwake na kumpigia kampeni

Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
Gwajima alimwalika Tarimba ili wacheze kolabo ya zekomedi kwa ajili ya watu wenye ufahamu mdogo.

but ukweli wenyewe ni huu hapa... enjoy!

 
Naona leo kuna moves kali kweli


Wanasisa wanaweza kuzikana imani zao
Magufuli anachangisha michango ya msikiti kanisani,huku gwajima tapeli anasema Abbas ni pacha wake.


Hii inanikumbusha maandamano ya maaskofu na wachungaji fake nyumbani kwa lowassa pale dodoma mwaka 2015 walipomfata kumuomba achukue fomu.
 
Sisi waswahili wanywa kahawa na kashata tumejibanza pembeni tu tunawasoma.
🤣
 
Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
Sisi hatujasema ila yeye mwenyewe gwajima alidhihirisha hilo
 
Ukitaka moto uwake humu JF haya mambo yangefanyika Misikiti daaah.
 
Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
Mchungaji anaona sifa kujifananisha na mchezesha kamari!!
Kwakweli tunamaaskofu waajabu sikuhizi!! Huyu kigeugeu alikuwa beneti na Lowassa sasa kageukia ukabila kisa msukuma mwenzie... Kawe hebu mwumbueni huyo mpiga makelele kuhubiri kwamaguvu majasho tee kuliko hata anayelima
 
Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.

Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.

Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Chanzo: Eatv

My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!

Maendeleo hayana vyama.
Tarimba master betting
 
Kwani Tarimba naye ana mpango wa kugeuza Misikiti na Madrasa kuwa Makanisa kama Gwajima?
 
Haha mtifuano wa Mdee na Gwajima sio wa kukosa kabisa.
 
Ukizingatia kwamba Jimbo la Kawe linajumuisha maeneo Kama vile Msasani, Mikocheni, Ostebay, Makongo, Kunduchi, Wazo, Madale, Bunju, Tegeta, Boko, Mbweni, Mbezi Beach, Ununio na Mabwepande.

Ni sehemu za kishua sana kwa Dar na kuwashawishi hawa wapiga kura unahitaji kuwa smart sana.

Ukiangalia Mdee na Gwajima wapo smart kichwani haswa ukirejea hotuba zao na namna ya kujenga hoja.

Kashfa za Gwajima na uropokaji wake ndiyo kikwazo kwake.

Sasa inategemea na uwezo wake wa kuzifukia hizi kashfa na kusonga mbele kitu ambacho Ni kazi ngumu ikizingatiwa na muda Ni mchache.

Ila kimsingi mechi ya Kawe Ni ngumu

..kashfa yake kubwa ni ile ya kufufua wafu.

..mtu wa aina hiyo hana sifa za kuwa mbunge.
 
Gwajiboy na Tarimba Abbas ni business men.
Hawa wanafanana kwa hilo ndio sababu wameanza kuunganisha nguvu ya pammoja kwa malengo yanayofanana.
 
Back
Top Bottom