Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Hizi attacks ni very personal. Ni nani asiye na dhambi na asimame ampige mawe mwanamke yule. Acheni personal attacks. Ni sawa na kusema Mdee msagaji, kamuoa Bulaya!!! Hamna aliyekamilika, and upinzani acheni kabisa hizo ishu, wenyewe mna makashfa mengi tu. Kila mgombea na asimame aseme ataifanyia nini Kawe.Kwahiyo hiyo Abbas Tarimba ndio sabuni ya kumsafisha na makashifa ya ngono na utapeli na kuvunja ndoa za watu. Pia anatuhumiwa kumtukana askofu Pengo. Yale ma porn movie yake tunayo.
La kusikitisha nchi hii haijawahi kuishiwa idadi kubwa ya vichaaGwajima aje atwambie alifikiria nini kuwatukana waislamu.
Atwambie yule gogo alimtoa wapi kwenye ile video yake ya ngono.
Ni kichaa tu atamchagua mtu kama gwajima.
Atuambie pia Ni lini nafasi yake ilishuka Hadi kutosha kugombea ubunge kutoka kuwa mkubwa hata kwa RaisGwajima aje atwambie alifikiria nini kuwatukana waislamu.
Atwambie yule gogo alimtoa wapi kwenye ile video yake ya ngono.
Ni kichaa tu atamchagua mtu kama gwajima.
Unafiki mtupu. Inadhihirisha zaidi kuwa Gwajima hamtumikii Mungu tunayemjua. Mungu wake ni tumbo lake.Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.
Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.
Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.
Chanzo: Eatv
My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!
Maendeleo hayana vyama.
Wapiga kura kwa mujibu wa NEC ni 29 million sasa toa hao wanachama wa CCM 6milioni unabaki na 23milioni wenye maamuzi huru kabisaTehe tehe,Kura Ni Siri ...uzuri wetu ccm huwa tunakwenda moja kwa moja kwenye jembe na nyundo kwanza.Tupo 6 million Kati ya wapiga 12 million
Kweli Gwajima ana chuki na waislamu hapo anaigiza tuMchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.
Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.
Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.
Chanzo: Eatv
My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!
Maendeleo hayana vyama.
Eti gogo.Gwajima aje atwambie alifikiria nini kuwatukana waislamu.
Atwambie yule gogo alimtoa wapi kwenye ile video yake ya ngono.
Ni kichaa tu atamchagua mtu kama gwajima.
Kwa hiyo haendi bungeni kupeleka muswada wa kubadili misikiti iwe sunday school?Mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema yeye na mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni ni mapacha.
Gwajima amesema hayo leo alipomkaribisha Abbas Tarimba Kanisani kwake na kumtambulisha kwa waumini wake ambao walimshangilia kwa nderemo na vigelegele.
Mchungaji Gwajima amesema yeye na Abbas Tarimba wameletwa na Mungu kuwatumikia wananchi wa Tanzania.
Chanzo: Eatv
My take: Mnaosema Gwajima ana chuki na waislamu soma hiyo!
Maendeleo hayana vyama.
Haijawahi kutokea waliojiandikiaha wakajitokeza woteWapiga kura kwa mujibu wa NEC ni 29 million sasa toa hao wanachama wa CCM 6milioni unabaki na 23milioni wenye maamuzi huru kabisa
Uislam unakataza kamari na riba... yeye ndio anahamasisha kisha "...wanataka watuaminishe kuwa kaalika muislamu kanisani anamtafutia kura!!!" Haya basi na amualike Sheikh Ponda au Sheikh Kishki ili wamsafishe vizuri!!!Tarimba wa Sport Pesa [emoji3][emoji3] mbinguni ni mbali sana