Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe




Yaani anapicha mpaka chafu mitandaoni eti Askofu!!!
 
Hafai ubunge, uaskofu ndio kabisa kabisa, hafai kitu mwacheni aende zake.
 
Gwajima ndo atapeleka hoja ya Rais aongezewe muda. Huko Russia wananchi wamepiga kura kumuongezea Putin muda mpaka 2036.

Wananchi wa China na Russia wameishamaliza kazi yao wamewaongezea muda viongozi makini wa nchi hizo.

Dunia kwa sasa haihitaji maraisi mafisadi na wanaochekacheka.

Yajayo yanafikrisha sana.
 
Sasa hapo sijaona point jamaa angu
 
sura yake tu ya wizi
 
Ha ha ha ha mshenga.

Wale aliowakutanisha waoane wanasemaje?
 
Huyu jamaa ni hopeless pastaor

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Best reference. Ngoja kampeni zianze tumsambaratishe.
 
Unawajua waumini wa Gwajima lakini.... ni zile typ za ulipo tupo!

Hukuona walivyokua wanamtetea kipindi cha ile video?

Yaani Gwajima Akiwaambia vaa kijani wote watavaa!
Akiwaambia vaaa kaki wote watavaa!

Yani sijui kawalisha nini Aisee!

Ni kweli wahumini wake ni watiifu kwake, lakini kwa idadi yao hata wakimpigia kura wote, hizo kura haziwezi kumpitisha.
Jambo lingine kuwa mbuge kunategemeana na kukubalika kwa watu wa dini tofauti, sasa yeye kama atategemea waumini wake, basi hatafanikiwa kwani watu wa imani nyingine watampinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…