goukun wadey
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 241
- 284
Hii kauli hii sio salamaShikilia hapo hapo Gwajiboy mpk maushungi yadondoke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli hii sio salamaShikilia hapo hapo Gwajiboy mpk maushungi yadondoke.
Tafiti zipi bwashee?!Ana Uhuru wa kutoa maoni yake, ila anatumia nadharia zaidi kupinga tafiti
Hizi chanjo anazopinga hazikuokotwa tu mahali ,Kuna watu wamekaa maabara za utafiti, na bado wanaendelea kufanya utafitiTafiti zipi bwashee?!
Huyo jiwe wenu atawaponza wajinga wengi.Wawafukuze tu wananchi tumeshamuelewa hawa ndo wanamuenzi Magufuli kwa vitendo aliyesema Chanjo hazifai.
2025 tuna letu Jambo,ndo watajua nguvu ya JPM japo alipitiwa na Israel akamtwaa.
Wewe boga kweli, Sasa dunia nzima wakichanjwa ni nini, yani tufuate mkumbo tu bila ku reason?. Chanjo ni hiari.Huyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
Ww una akili kwani?China , Urusi, Uganda, India , Rwanda, Uingereza na kwingine wametoa hela kuchanja watu?? Mbona watu wa chato ni wajinga kiasi icho?
Kansa,malaria zinaua kuliko korona kwa nini wasiweke msisitizo huko?Mzungu angetaka kutudhuru angetumia madawa yaliyopo kwenye system ya matumizi wala asingetumia nguvu kubwa hivo kupinga chanjo ni ujinga usio na mfano
Safi,sio kubadilika badilika kila awamu mpya.Yesu akamwambia, “Yeyote anayeshika jembe tayari kulima na huku anaangalia nyuma, hafai kwa ufalme wa Mungu.”
Mwanamume msimamo, hakuna kuyumba yumba kisa tumbo au chakula. Maana tumbo na chakula vitatoweshwa vyote.
Panadol hata sisi watz tunatengeneza.Hii ni misimamo ya kijinga, kama kweli unaamini mnachosimamia msitumie panadol na madawa yote
Usikariri sayansi , Kila siku kinavumbulia kitu na mbinu mpya na teknolijia inazidi kukuaTafiti zipi? Chanjo hazijafanyiwa hata clinical trials....
Hakuna clinical trial ya wanyama, hakuna clinical trial ya group sample ya watu wachache.... makundi kwa makundi...
Yaani makemikali yametengenezwa tu kiwandani halafu ghafla bin vuu mnaambiwa wote nchi nzima mtege mabega mdungwe.
Ah wapiii! Thubutu yenu!
Sasa matusi ya nini? Au ndivyo unavyojenga nchi mr genius?Huna ulijualo zaidi ya kuchuma mboga na kulilia boro.
Wacha wanaume wazungumze mambo ya kitaaluma yanayohusu mustakabali wa nchi.
Mwambie na Kakobe pia na Lusekelo ambao nao wanzungumzia kuchanjwa makanisani mwao.Kulikuwa na ulazima gani kwenye ibada hiyo kutaja mambo ya chanjo?
Kiki zitamtoa manyoya
Eti ku-reason, mbona hujareason kwenye madawa mengine?Wewe boga kweli, Sasa dunia nzima wakichanjwa ni nini, yani tufuate mkumbo tu bila ku reason?. Chanjo ni hiari.