tutamkumbukamagu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 317
- 270
kwa kosa gani?Huo ndiyo uanamume. Hautingishwi kwa sababu ya kutetea ugali. Utaupata kwingine tu.
Anyway, bungeni ataruhusiwa. Ila yeye na Polepole wanafukuzwa chamani.
Wiki hii ya kesho haitoisha.
Ulitaka ayataje wapi ww boya kweliKulikuwa na ulazima gani kwenye ibada hiyo kutaja mambo ya chanjo?
Kiki zitamtoa manyoya
Sawa...kwangu Mimi hata wachache waliochanja wanajutia kuchanjwa wanaishi kwa hofuNadhani hiyo asilimia inazidi kushuka siku hadi siku. Kwenye group langu la whtsapp watu walikuwa hawataki kabisa kusikia kuhusu chanjo. Mimi niliwaweka wazi kuwa nimeshachanja na nilikuwa nawajibu hizo hoja za Gwajima plus na baadhi ya clip mbalimbali za wataalamu. Kidogo kidogo wakaanza kuelimika. Hivi sasa kuna watu zaidi ya kumi wameshachanja na wengi zaidi wameahidi kuchanja wakipata nafasi.
Hivyo naamini watu wanaelewa sasa.
Nashauri elimu iendelee kutolewa ili mtu anapoamua kuchanja au la awe na hakika na maamuzi yake.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo utafiti haujakamilika?!!!Hizi chanjo anazopinga hazikuokotwa tu mahali ,Kuna watu wamekaa maabara za utafiti, na bado wanaendelea kufanya utafiti
Kulikuwa na ulazima gani kwenye ibada hiyo kutaja mambo ya chanjo?
Kiki zitamtoa manyoya
Gwajima anatakiwa apate akitakacho haraka sanaSasa naamini ni kweli Fl. Mbcxsha alitafunwa na huyu Gwajiboy pornstar Kinyonga.
Hata ile clip.nyingine iliyofichwa ni yeye.
Kenge sana. Kwani asipochanja yeye ndio mwisho wa dunia !!!
Nimekuelewa bwashee!Yesu akamwambia, “Yeyote anayeshika jembe tayari kulima na huku anaangalia nyuma, hafai kwa ufalme wa Mungu.”
Mwanamume msimamo, hakuna kuyumba yumba kisa tumbo au chakula. Maana tumbo na chakula vitatoweshwa vyote.
Hayo umeyatoa wapi ?Ooohh....
Kwahiyo sasa hivi makemikali yakishatengenezwa kiwandani basi moja kwa moja unaenda kudunga watu?
I like that technology! Fantastic!
Mimi nimechanja, kwanini niwe na hofu? Najiona niko huru zaidi kuliko kipindi nikiwa sijachanja.Sawa...kwangu Mimi hata wachache waliochanja wanajutia kuchanjwa wanaishi kwa hofu
Tumeambiwa chanjo ni hiari sasa povu la nini? Je waliochanjwa wasipodhurika mtasema nini? Yasemwayo na kutisha ni kwa kuwa hatuna elimu ya kutosha kuhusu chanjo hizo. Tumetanguliza hisia hasi na kuona giza nene mbele yetu. Kila mtu ana wajibu wa kulinda uhai wake. Tusilazimishane kuchanja au kutochanja, kila abiria achunge mzigo wake!Sasa mnamlisha maneno Gwajiboy.
Weka clip.
Huyu chalii gwajiboy anapenda kuongelewa sana, kama havhomi chanjo ni uamuzi wake sio kitu cha kuzungumza mwaka mzima, kila mtu ana maamuzi yake aitake kututoa kwenye msitariAskofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Huyu muwache na kiherehere chake atakufa kitambo na asiwe na muda wa kufanya maigizo yake. Wako wapi waliotuaminisha kuwa Mungu ameitibu Tanzania? RIP GwajimaAskofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ni dawa ngapi unabugia na hujui chochote kilichomo?Haya machanjo ni uchafu. Hayafai ni uchafu mtupu... RUBBISH, GARBAGE
Acha ukilema wa kushabikia machanjo ya mabeberu hujui hata yametoka wapi unabugia tu kama zezeta.
Kama una hamu sana na chanjo tengeneza yako!
Si mnajiitaga wasomi nyie! THEN MAKE A VACCINE!
Huyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
Halafu ni mwongo sana. Utasikia nimeongea na marafiki zangu madaktari lakini hasemi ni akina nani na wanafanya kazi hospitali zipi.Huyu chalii gwajiboy anapenda kuongelewa sana, kama havhomi chanjo ni uamuzi wake sio kitu cha kuzungumza mwaka mzima, kila mtu ana maamuzi yake aitake kututoa kwenye msitari
Ana hamu ya kwenda Kaburini upesi.Huyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
Kuhusu misukule kuna jamaa alisema anaipeleka pale lumumba[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu ni mwongo sana. Utasikia nimeongea na marafiki zangu madaktari lakini hasemi ni akina nani na wanafanya kazi hospitali zipi.
Ni kama tu anaposema anafufua misikule huwa hao wafufuliwaji hawatambuliki wanatoka wapi.
Utasikia ni mwanafunzi darasa la saba shule haitajwi. Na mtaa anaotoka huyo msukule hautajwi.
Kwasasa anadanganya ili kupata umaarufu wa kisiasa.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kuna pepo linamshambulia kwa kasi ya 4GHuyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
ubunge wenyewe aliupata kwa kupewa hana uwezo wa kuuachaAskofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kwani kuna aliyemlazimisha achanje ?Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!