Askofu Gwajima hataki kubadili uelekeo, inawezekana ni mgeni na chama

Askofu Gwajima hataki kubadili uelekeo, inawezekana ni mgeni na chama

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
The man ni Game Changer. Anajiamini sana hasa anaposimamia anachoamini.

Natamani iwe leo; natamani iwe kesho Gwajima afukuzwe CCM. Anampinga Rais ambaye kaamua kubadilisha uelekeo.

Gwajima bado amekaza shingo yake hataki kugeuka nyuma kubadili uelekeo. Amekaza shingo na anakazana kuelekea mbele wakati mwenyekiti wake wa Chama amegeuka.

Wenzie wamebadili uelekeo yeye ameshupaza shingo. Hii si nzuri kwa Chama Cha Mapinduzi. Si jambo la kawaida. Inawezekana Gwajima ni mgeni na chama. Wenyeji wanajua kubadilisha uelekeo ni jambo la kawaida kwa chama. Sasa Gwajima Kadema.

Gwajima Kadema, kagoma kugeuka. Hii si CCM tunayoitaka.
 
Taifa ambalo elimu imeenea mtu kama Gwajima hana madhara. US wanawalabel hawa watu kama anti vaxers na hua wanataniwa kweli kweli.

Taifa letu limejaa wajinga mtu kama Gwajima ni hatari.

Kwa sasa hapana. Hatufai.
 
Taifa ambalo elimu imeenea mtu kama Gwajima hana madhara. US wanawalabel hawa watu kama anti vaxers na hua wanataniwa kweli kweli.

Taifa letu limejaa wajinga mtu kama Gwajima ni hatari.

Kwa sasa hapana. Hatufai.
Hakufai wewe. Wengine anawafaa. Hoja za Gwajima unazifahamu?
 
Tumeona huko Marekani & Uingereza wabunge wakipingana na misimamo ya vyama na viongozi wao. Na hakuna hatua zilizochukuliwa. Hii ya hapa kwetu ni mfumo wa ki communist. Wa kusifu na kuabudu viongozi na vyama tawala. UJINGA mwingine huo
 
Lopo lopo huyo tunasubiri leo kama hata sanda
 
Gwajima afukuzwe tu

Gwajima hana UCCM wowote ule zaidi ya "kubebwa" kuwa mbunge

Ukitaka UJUE GWAJIMA hana USHAWISHI CCM hebu angalia KURA ZA MAONI ALIZOPATA JIMBONI KAWE 2020

Alikuwa wa 4

Sasa mtu wa aina hii ana USHAWISHI GANI tumuogope WANACCM?

HASHTAG GWAJIMA AFUKUZWE CCM

#CCMIMFUKUZEGWAJIMA
 
Taifa ambalo elimu imeenea mtu kama Gwajima hana madhara. US wanawalabel hawa watu kama anti vaxers na hua wanataniwa kweli kweli.

Taifa letu limejaa wajinga mtu kama Gwajima ni hatari.

Kwa sasa hapana. Hatufai.
Kumwona Gwajima hafai kisa tu ana mawazo tofauti ni ufinyu wa uelewa.

Sio kila kauli inayotolewa na serikali ni sahihi asilimia 💯 hivyo kuwepo kwa watu kama Gwajima ni muhimu sana haswa kwa kipindi hiki tusichokuwa na vyama vya upinzani.

Ujinga unaouona wa watanzania ndio CCM inautumia kama mtaji kuwaburuza wapendavyo...tunataka akina Gwajima wengi kuwafungua waTz macho.
 
Hakufai wewe. Wengine anawafaa... Hoja za Gwajima unazifahamu?
Mimi nimesema hatufai. Nashare maoni na wanaosema hatufai. Hoja yangu ni yao.

Wewe umesema anawafaa. Unashare maoni na wanaosema anawafaa. Hoja yako ni yao.

Wote tupo sahihi. Ukizingatia siyo chanjo ya lazima hivyo tusonge mbele.
 
angekua anasimamia anachokiamini asingegombea ubunge, maana kwa kinywa chake alitamka hawezi kuwa mbunge maana kuwa mbunge ni demotion
Huyo jamaa hana mfuasi TIMILIFU KICHWANI. ..
 
Kumwona Gwajima hafai kisa tu ana mawazo tofauti ni ufinyu wa uekewa.

Sio kila kauli inayotolewa na serikali ni sahihi asilimia 💯 hivyo kuwepo kwa watu kama Gwajima ni muhimu sana haswa kwa kipindi hiki tusichokuwa na vyama vya upinzani.

Ujinga unaouona wa watanzania ndio CCM inautumia kama mtaji kuwaburuza wapendavyo...tunataka akina Gwajima wengi kuwafungua waTz macho.
Nafikiri umetaka kumaanisha ufinyu wa uelewa.

Tukienda na rekodi:

Kuna mwaka ilizuka homa ya dengue. Ikaondoka na watu maarufu na wasio maarufu. Serikali kupitia wizara ya afya ikatoa angalizo kwamba ukiona una dalili za homa cha kwanza kiwe ni panadol.

Kisha ikazuka sauti ya Gwajima akipinga kwamba hakuna homa ye dengue hizo ni propaganda za serikali. Akasema hakuna ugonjwa ambao unaua watu halafu utibiwe kwa panadol.

Kisha akauliza kwanini hiyo homa inaua watu maarufu tu.

Mtu huyu huyu anakuja kuongea haya kuhusu corona.

Na unasema ni muhimu wakawepo nchini watu wa hivi?
 
Yaaan navyoichukia CCM lakin leo kesho naomba muifukuze hiyo takataka kirambasi. He is misleading. Hana ujuzi wowote wa Afya makalio yake
 
The man ni Game Changer. Anajiamini sana hasa anaposimamia anachoamini.

Natamani iwe leo,natamani iwe kesho Gwajima afukuzwe CCM. Anampinga Rais ambaye kaamua kubadilisha uelekeo.

Gwajima bado amekaza shingo yake hataki kugeuka nyuma kubadili uelekeo. Amekaza shingo na anakazana kuelekea mbele wakati mwenyekiti wake wa Chama amegeuka.

Wenzie wamebadili uelekeo yeye ameshupaza shingo. Hii si nzuri kwa Chama Cha Mapinduzi. Si jambo la kawaida. Inawezekana Gwajima ni mgeni na chama. Wenyeji wanajua kubadilisha uelekeo ni jambo la kawaida kwa chama. Sasa Gwajima Kadema.

Gwajima Kadema.... Kagoma kugeuka.hii si CCM tunayoitaka.
Gwajima anaupiga mwingi sana kiasi CCM wamebaki kubweka bweka tu lakini hawana cha kumfanya, Gwajima ana 'watu'
 
Gwajima afukuzwe tu....

Gwajima hana UCCM wowote ule zaidi ya "kubebwa" kuwa mbunge....

Ukitaka UJUE GWAJIMA hana USHAWISHI CCM hebu angalia KURA ZA MAONI ALIZOPATA JIMBONI KAWE 2020.....

Alikuwa wa 4.......

Sasa mtu wa aina hii ana USHAWISHI GANI tumuogope WANACCM?!!!


HASHTAG GWAJIMA AFUKUZWE CCM

#CCMIMFUKUZEGWAJIMA
Hakuna mwenye ubavu huo Gwajima aneshawatieni dole la kati.
 
Tumeona huko Marekani & Uingereza wabunge wakipingana na misimamo ya vyama na viongozi wao. Na hakuna hatua zilizochukuliwa. Hii ya hapa kwetu ni mfumo wa ki communist. Wa kusifu na kuabudu viongozi na vyama tawala . UJINGA mwingine huo
Fikra za mwenyekiti huwa ni sahihi na hazipingwi in ccm voice
 
Gwajima afukuzwe tu....

Gwajima hana UCCM wowote ule zaidi ya "kubebwa" kuwa mbunge....

Ukitaka UJUE GWAJIMA hana USHAWISHI CCM hebu angalia KURA ZA MAONI ALIZOPATA JIMBONI KAWE 2020.....

Alikuwa wa 4.......

Sasa mtu wa aina hii ana USHAWISHI GANI tumuogope WANACCM?!!!


HASHTAG GWAJIMA AFUKUZWE CCM

#CCMIMFUKUZEGWAJIMA
Huyu ni mbunge wa "NIRETEENI GWAJIMA, NIRETEENI GWAJIMA, NIRETEENI GWAJIMAAA".
Hajui lolote kuhusu ccm
 
Gwajima naskia kasema asigombanishwe na mwenyekiti wake
Chanjo ya korona ni hiari "kuchanjwa" ama "la"
Mama samia kachagua kuchanjwa yuko sahihi na yeye amechagua "la" yuko sahihi 😂😂😂😂
 
Misimamo husaidia mbele ya Safari

Magufuli alikuwa kama Gwajima hakwenda na upepo alisimamia alichokiamini wabadilika upepo walijikuta hawana chao 2015

Akishika mtu asiyebadilika kama Gwajima wabadilikaji wasio na misimamo hawatakuwa na nafasi yeyote iwe ubunge au cheo serikalini ,mahakamani au bungeni time is a very good teacher

Gwajima simamia hapo hapo

Usiangalie leo Concentrate na future tu.Time ndio huamua Nani mshindi kwenye mbio zozote ziwe za riadha au za kisiasa

Waliogeuka wote wameshashindwa mbio hata kabla ya kuanza.Wanaangalia Leo watakuwa wageni wa Nani wanasahau kuwa future ndio muda mrefu zaidi kuliko present time

Magufuli hakujali present alikocentrate on future tu he remained the same serikali zote hakubadilika misimamo watu wakasema hafiki popote Lofa Hana hella Hana connection nzuri na vigogo na matajiri na hayuko social nk lakini akaibuka kidedea uraisi

Hawa wanaogeuka kama vinyonga kuangalia leo Raisi aliyepo ansimba wimbo upi na wait wanajifanya wanaimba huo wimbo hawana future kwenye politics.Mark my words watapigwa chini wote mbeleni!! Kama ilivyotokea 2015 baada ya Magufuli kushinda

Gwajima kajitambulisha live where he stands na habadiliki same characy ya Magufuli

Nchi inahitaji wenye misimamo isiyobadilika alikuwa na msimamo huo kipindi cha Magufuli na kabaki na msimamo huo huo kipindi cha Samia
 
Misimamo husaidia mbele ya Safari

Magufuli alikuwa kama Gwajima hakwenda na upepo alisimamia alichokiamini wabadilika upepo walijikuta hawana chao 2015

Akishika mtu asiyebadilika kama Gwajima wabadilikaji wasio na misimamo hawatakuwa na nafasi yeyote iwe ubunge au cheo serikalini ,mahakamani au bungeni time is a very good teacher

Gwajima simamia hapo hapo

Usiangalie leo Concentrate na future tu.Time ndio huamua Nani mshindi kwenye mbio zozote ziwe za riadha au za kisiasa

Waliogeuka wote wameshashindwa mbio hata kabla ya kuanza.Wanaangalia Leo watakuwa wageni wa Nani wanasahau kuwa future ndio muda mrefu zaidi kuliko present time

Magufuli hakujali present alikocentrate on future tu he remained the same serikali zote hakubadilika misimamo watu wakasema hafiki popote Lofa Hana hella Hana connection nzuri na vigogo na matajiri na hayuko social nk lakini akaibuka kidedea uraisi

Hawa wanaogeuka kama vinyonga kuangalia leo Raisi aliyepo ansimba wimbo upi na wait wanajifanya wanaimba huo wimbo hawana future kwenye politics.Mark my words watapigwa chini wote mbeleni!! Kama ilivyotokea 2015 baada ya Magufuli kushinda

Gwajima kajitambulisha live where he stands na habadiliki same characy ya Magufuli

Nchi inahitaji wenye misimamo isiyobadilika alikuwa na msimamo huo kipindi cha Magufuli na kabaki na msimamo huo huo kipindi cha Samia
Mkuu kwa maelezo yako haya Gwajima anamsimamo!!!! una hakika au unajaribu kusherehesha usichokijua??Gwajima yupi huyu porn master au??
 
Back
Top Bottom