Askofu Gwajima hataki kubadili uelekeo, inawezekana ni mgeni na chama

Askofu Gwajima hataki kubadili uelekeo, inawezekana ni mgeni na chama

Gwajifix tapeli
Gwajima afukuzwe tu

Gwajima hana UCCM wowote ule zaidi ya "kubebwa" kuwa mbunge

Ukitaka UJUE GWAJIMA hana USHAWISHI CCM hebu angalia KURA ZA MAONI ALIZOPATA JIMBONI KAWE 2020

Alikuwa wa 4

Sasa mtu wa aina hii ana USHAWISHI GANI tumuogope WANACCM?

HASHTAG GWAJIMA AFUKUZWE CCM

#CCMIMFUKUZEGWAJIMA
 
Yaaan navyoichukia CCM lakin leo kesho naomba muifukuze hiyo takataka kirambasi. He is misleading. Hana ujuzi wowote wa Afya makalio yake
pinga hoja zake sio una attack personality
 
The man ni Game Changer. Anajiamini sana hasa anaposimamia anachoamini.

Natamani iwe leo; natamani iwe kesho Gwajima afukuzwe CCM. Anampinga Rais ambaye kaamua kubadilisha uelekeo.

Gwajima bado amekaza shingo yake hataki kugeuka nyuma kubadili uelekeo. Amekaza shingo na anakazana kuelekea mbele wakati mwenyekiti wake wa Chama amegeuka.

Wenzie wamebadili uelekeo yeye ameshupaza shingo. Hii si nzuri kwa Chama Cha Mapinduzi. Si jambo la kawaida. Inawezekana Gwajima ni mgeni na chama. Wenyeji wanajua kubadilisha uelekeo ni jambo la kawaida kwa chama. Sasa Gwajima Kadema.

Gwajima Kadema, kagoma kugeuka. Hii si CCM tunayoitaka.
Kamba bado kidogo kukatika, na itakatika tu!
 
Misimamo husaidia mbele ya Safari

Magufuli alikuwa kama Gwajima hakwenda na upepo alisimamia alichokiamini wabadilika upepo walijikuta hawana chao 2015

Akishika mtu asiyebadilika kama Gwajima wabadilikaji wasio na misimamo hawatakuwa na nafasi yeyote iwe ubunge au cheo serikalini ,mahakamani au bungeni time is a very good teacher

Gwajima simamia hapo hapo

Usiangalie leo Concentrate na future tu.Time ndio huamua Nani mshindi kwenye mbio zozote ziwe za riadha au za kisiasa

Waliogeuka wote wameshashindwa mbio hata kabla ya kuanza.Wanaangalia Leo watakuwa wageni wa Nani wanasahau kuwa future ndio muda mrefu zaidi kuliko present time

Magufuli hakujali present alikocentrate on future tu he remained the same serikali zote hakubadilika misimamo watu wakasema hafiki popote Lofa Hana hella Hana connection nzuri na vigogo na matajiri na hayuko social nk lakini akaibuka kidedea uraisi

Hawa wanaogeuka kama vinyonga kuangalia leo Raisi aliyepo ansimba wimbo upi na wait wanajifanya wanaimba huo wimbo hawana future kwenye politics.Mark my words watapigwa chini wote mbeleni!! Kama ilivyotokea 2015 baada ya Magufuli kushinda

Gwajima kajitambulisha live where he stands na habadiliki same characy ya Magufuli

Nchi inahitaji wenye misimamo isiyobadilika alikuwa na msimamo huo kipindi cha Magufuli na kabaki na msimamo huo huo kipindi cha Samia
Mawazo mufilisi.
Anayeshupaza shingo huishia kukatika hiyo shingo.
 
Kumwona Gwajima hafai kisa tu ana mawazo tofauti ni ufinyu wa uelewa.

Sio kila kauli inayotolewa na serikali ni sahihi asilimia 💯 hivyo kuwepo kwa watu kama Gwajima ni muhimu sana haswa kwa kipindi hiki tusichokuwa na vyama vya upinzani.

Ujinga unaouona wa watanzania ndio CCM inautumia kama mtaji kuwaburuza wapendavyo...tunataka akina Gwajima wengi kuwafungua waTz macho.

Vyama vya upinzani havipo au ccm ndio hawataki viwepo?
 
Inawezekana akawa anazingua lakini gwaji boy ana hoja tena nzito tu kuhusu chanjo ni zinafikirisha kwa kweli.
 
Nafikiri umetaka kumaanisha ufinyu wa uelewa.

Tukienda na rekodi:

Kuna mwaka ilizuka homa ya dengue. Ikaondoka na watu maarufu na wasio maarufu. Serikali kupitia wizara ya afya ikatoa angalizo kwamba ukiona una dalili za homa cha kwanza kiwe ni panadol.
Du hiili la Dengue ililinipita nadhani sikuwepo vipi liliishaje?
 
Du hiili la Dengue ililinipita nadhani sikuwepo vipi liliishaje?
Ilikua miaka ya kikwete 2014 so hakuguswa.

Ilikua kama corona ilianza kwa kasi baada ya tangazo la panadol vifo vikapungua mpaka ikakata kabisa.
 
Taifa ambalo elimu imeenea mtu kama Gwajima hana madhara. US wanawalabel hawa watu kama anti vaxers na hua wanataniwa kweli kweli.

Taifa letu limejaa wajinga mtu kama Gwajima ni hatari.

Kwa sasa hapana. Hatufai.
wewe ndiwe pengine huna uelewa, wewe umebugia hiyo chanjo mask huvai??? Unajua maana ya chanjo wewe.
 
Yaaan navyoichukia CCM lakin leo kesho naomba muifukuze hiyo takataka kirambasi. He is misleading. Hana ujuzi wowote wa Afya makalio yake
Ungekua na ujuzi na mambo ya afya ungegundua chanjo yako. Tanzania kuna mjuzi wa afya??? Mask zenyewe mmeshindwa kutengeneza. Bora nimheshimu fundi Cherehani anaweza shona hata hizo mask.
 
Kuna watu nyuma ya gwajiboy na wanachochea kuni kimya kimya
Mbona wengine walithubutu kuzaba makofi wazee na wengine kuongea kwa kujiamini kwa nguvu ya Chama
Hapo inaonyesha gwaji ana Baraka zote
 
Hivi Gwajima anawapaje taabu nyie watu?? Si mumpuuze tu na muende kuchanjwa?!

Au si mjibu hoja kwa hoja ili muwafafanulie wanachama wenu? Kukimbilia kuomba afukuzwe uanachama na kumlabel eti ni mtu hatari ni kuishiwa nguvu ya hoja.
 
Mawazo mufilisi.
Anayeshupaza shingo huishia kukatika hiyo shingo.
Biblia inatamka wazi kwenye Ayubu 3:25 kuwa lile nilikuwa naliogopa ndio limenipata

Waogopa Corona jiandaeni kukutana na Corona

Shupazeni shingo za uoga lazima mkutane nayo na michanjo yenu na mibarakoa yenu na mi social distance yenu na mimaji tiririka yenu

Ulaya na marekani na kuzingatia yote wanakufa kama kuku

Sasa inakuja zamu yenu waogopa Corona
 
Back
Top Bottom